Kutoa maji mengi wakati wa kujamiiana

Jinsia yako ni ipi tafadhali?
 
Kudadeeki, binafsi nilikuwaga siamini hii kitu, ila nilipokutana na mmojawapo ndo nikaamini, wakati inatokea nilijua anajikojolea
 
Kama maji hayo hayana harufu mbaya basi hapo uko poa. Jikamulie kitu . Na usiendelee kutangaza hii kitu utapata application nyingi mno
 

Nakubaliana na ww kabisa, ndizi ni moja ya vyakula vinavyoongeza maji mengi kwa wanawake hata mwanaume pia hasa za kuiva zinafanya hayo maji kua mengi, kwa wanawake ambao wanakua na maji machache km unajua unaenda kukutana na mwenzako siku hio na unajua unatatizo la uke kua mkavu basi siku hio kula ndizi za kuiva km 5 hivi kwa siku nzima na matokeo yake utayaona.
 
I think you meant SIDE EFFECTS au MADHARA haya yawezakua kweli pia kama yule dume jike aliyefanyiwa injection ya CEMENT NA SUPERGLUE kwene makalio yake....!Dunia hii vituko haviishi
sijakuelewa kabisa hapa hebu nifafanulie zaidi cement ni nini na superglue niini?
 
hebu nisaidie mm mkuu hahahahahaaaaaaaaaaa hujambo lakini sijakutia machoni muda mrefu
 
maji maji kwa wanawake utokea tu pale anapahisi utamu na utegemea na mme husika. Anaweza toa maji hata Bila kufika Ile atua yenyewe automatically kinembe kikiguswa na kupigwapigwa basi umwaga mithiri ya tap ya maji usipo kuwa mwangalifu uweza kufume adi usoni. Si ugongwa ila nature. Asa mkoa WA kagera balaa
 
Hizo simu zinakuwa ni original tatizo ni kwamba zikiingia kinyume na serekali zitafanya kazi kama kawaida
 
kwa maana hiyo hata wachaga na wanyakyusa nao wanarusha kojo kiasi hicho kwa kuwa wanakula sana ndizi?
 
Sasa hapo tatizo ni nini? Labda jamaa anakufanya ufikirie vibaya ndio maana inakuharibia mashamsham.
We dada uwe unatembea na chupi extra kwenye begi, "cause you got some bomb ass pusy!!"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…