MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Hakika Hujafa Hujaumbika jamani!![h=3]Personal stories.[/h]It is late afternoon as I approach the playground at CCBRT Disability Hospital in Tanzania. I see groups of children playing: some on wheel chairs driving around, others with artificial limbs exercising. Then I spot a young boy whose left arm is covered in a bandage, his hand looks twisted............... details Personal Stories: CCBRT[tt_news]=58&cHash=ab6d9a3ef259a71bf8feb9a007d973fb
jaribu kutumia bio oil ni dawa ilyotengenezwa s.africa inapatkana kwny maduka makubwa ya madawaHellow,habari?
Well, mi ningependa kujua dawa/namna,either kiasili or not,ya jinsi ya kutoa makovu ya kuungua moto,au makovu ya vidonda,kwa mtoto,na pia mtu mzima!
Shukria,
jaribu kutumia bio oil ni dawa ilyotengenezwa s.africa inapatkana kwny maduka makubwa ya madawa
Tumia "MEBO" ni natural ointment inapatikana maduka ya dawa. Huwa inatumika hata kufuta makobu ya operation na moto.Hellow,habari?
Well, mi ningependa kujua dawa/namna,either kiasili or not,ya jinsi ya kutoa makovu ya kuungua moto,au makovu ya vidonda,kwa mtoto,na pia mtu mzima!
Shukria,
Usiwajali vijana, waache wafanye ya ujana si unajua maji ya moto hayo na kuni za kupashia nazo mfumuko wa bei umeathiri. Ndo wakati wao.
Haya, all the best na darsa hili
mydear...has been a year almost.. Tangu nilete hii story..
Nilikuwa na kovu sehemu flan niliungua na uji utotoni pia na vikovu kutokana na zile tetekuwanga za utotoni,ive been using bio oil and now zote zimefutika,and nipo kama sikuwah kuwa na kovu !
Sikuwa na kovu usoni ila nilikuwa natumia kuanzia usoni napaka usiku na asubuhi pamoja na lotion ya kawaida every other day!
I feel comfy now and looking natural soft and glowing.
Thanx dude,
jf daima.
Oh usijali mkuu.yes nilipata Masada hukuhuku before nilkuwa sina idea baada ya kuhangaika nakuhangaika hospital wakwawananipa cream kali but tokanianze bio oil namix na ccocoa butter kwelinashukuru. I wish I could post mypic in here.lolSamahani kama nakukwaza ila nimeshangaa kidogo, unaulizia dawa ya kuondoa makovu,,mbona hapo kwenye hii comment unasema ushawahi tumia bio oil na ikasaidia sana.. Au ni mm sijaelewa..
Oh usijali mkuu.yes nilipata Masada hukuhuku before nilkuwa sina idea baada ya kuhangaika nakuhangaika hospital wakwawananipa cream kali but tokanianze bio oil namix na ccocoa butter kwelinashukuru. I wish I could post mypic in here.lol
Tumia Kojic Acid soap
Inapatikana wapi?
Nilinunua kwa mdada anauza vipodozi....sina hakina kama madukani ipo au wapi inapatikana.Inapatikana wapi?