Kutoa Manii nyingi kwa wakati mmoja

Kutoa Manii nyingi kwa wakati mmoja

sikuyaja

Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
47
Reaction score
11
Naombeni msaada maana mara nyingi nnapokua nafanya sex na mwanamke nifikapo mwisho namwaga shahawa nyingi sana ambazo zinanifanya nisipate hamu ya kurudia tendo tena ndani ya muda mfupi. Nashindwa kujua nini chanzo cha tatizo hili na tiba yake ni nini. Imekua kero pia kwa partner wangu maana hata akitumia kitambaa kinaloa. Please naomba msaada ndani ya jukwaa hili muhimu.
 
sasa na wanaomwaga shahawa kiduchu gram tano tu nao waseme nini!!
 
Basi madem zako hawana akili.


Maaana kimantiki,ukimwaga mengi kwa wakati mmoja ni vyema kuliko mengi mengi kila mchezo.

Labda kwenye kukosa hamu ya kuendellea ndio tatizo.
 
Naombeni msaada maana mara nyingi nnapokua nafanya sex na mwanamke nifikapo mwisho namwaga shahawa nyingi sana ambazo zinanifanya nisipate hamu ya kurudia tendo tena ndani ya muda mfupi. Nashindwa kujua nini chanzo cha tatizo hili na tiba yake ni nini. Imekua kero pia kwa partner wangu maana hata akitumia kitambaa kinaloa. Please naomba msaada ndani ya jukwaa hili muhimu.

Yawezekana Tumboni Kwako Kumepandwa Mbegu Nyingi Za Zao La Karanga Hivyo Kila Kukicha Zinarutubika Tu. Hongera Sana Mkuu!
 
Shahawa nyingi= utam kwa mda mrefu,sasa wewe hutaki utam?
 
Mwanzoni mimi nilikuwa najua mwanaume akimwaga hizo nyingi ni sababu ya ukame wa siku nyingi zinakuwa zimejilimbikiza kwahiyo nikawa so proud na mkaka wangu kuwa ha cheat on me maana tulikuwa tunaishi mikoa tofauti......lakini kumbe sivyo ilivyo🙄
 
Pole sana mkuu.
Tumia tende mara kwa mara. Unaweza kutumia juice yake pia. Hii itakufanya urudie tendo.

Kumwaga sana ni tatizo kutegemea na mpenzi uliye nae. Wengine wanataka umwage hata jagi if possible.
 
Ni hisia tu, ni nyingi lita ngapi? ukizipima ujazo wake kwa mkupuo then Google kujua kama ni normal, above or below standard vinginevyo unaweza shauriwa dawa humu Jf ukaishia kumwaga upepo...
 
Sasa kwanini ww unamwaga nje
umejuaje kuwa ni nyingi km hulengeshi kwenye hilo tundu
huwezi kujua labda mwenzako naye kakojoa na mnapoona maUtamu yametapakaa mnachanganyikiwa
sasa ungepiga Katereero si ndio ungechanganyikiwa maana kigodoro lazima kilowane
 
Mwanzoni mimi nilikuwa najua mwanaume akimwaga hizo nyingi ni sababu ya ukame wa siku nyingi zinakuwa zimejilimbikiza kwahiyo nikawa so proud na mkaka wangu kuwa ha cheat on me maana tulikuwa tunaishi mikoa tofauti......lakini kumbe sivyo ilivyo🙄

Inategemea mtu na mtu, wengine ni ukame kweli, wengine inatokana na vyakula wanavyokula hasa asilia vyenye mafuta mengi.

Vile vile ukiona mtu anamwaga saana kila unapokutana nae ujue hiyo papuchi ina joto haswa. 😛
 
Back
Top Bottom