Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
DuhBora utoe mimba kuliko kuzaa juma lokole
WafiwaNa wanaume wanaoshauri wanawake zao watoe mimba,tuwaitaje?
Nini mchele mchele?Bora utoe mimba kuliko kuzaa juma lokole
Mbona jina jepesi ivyo,afu limekaa kiheshima tofauti na huyo walie kubaliana wakatoa.Na mwanaume angitwa baba wa marehemu wabalance shoboWafiwa
Ukishatia mimba hakukufanyi usiwe baba hata ikitolewaMabinti wengi wanatoa mimba kwa sababu mbalimbali za msingi, lakini sio za msingi sana ukilinganisha na thamani ya uhai wa mtu unayeenda kumuua.
Kibaya ambacho wanakikwepa mabinti na wanawake ni kutokuwa na mtoto kwa wakati huo, lakini Ukitoa mimba hakukufanyi usiwe mama, unaendelea kuwa mama wa marehemu
Baba K, baba kilichokufaUkishatia mimba hakukufanyi usiwe baba hata ikitolewa
Ni baba wa marehemu