nimepata kusikia sana kitendo cha kutoa mimba tokea nasoma primary hadi chuo'pia nafahamu kuwa kitendo hicho ni kosa lajinai,kwanini , naje ? kutoa KWA MAKUSUDI mimba mara kwa mara kuna madhara gani? kwa mwanamke
Kuhusu kosa la jinai sina uhakika maana wengine wanatoa mimba kwa kufuata ushauri wa daktari (medical grounds) kuwa mimba hiyo inaweza mletea matatizo katika ukuaji wake huko mbeleni etc. Kutoa mara kwa mara nayo ni mbaya navyoelewa mimi tena mbaya sana maana unauchakaza au unaulegeza mfuko wa uzazi kiasi kwamba huko baadae ukiwa una hamu ya mtoto inakuwa ngumu mimba kushika na kukaa katika mfuko wake kwa miezi tisa. ndo maana wengine (sio wote) huwa wanawekwa bed rest miguu imenyanyuliwa juu ili kuepusha mimba hiyo kutoka na wakati huo huo wanakuwa wameshafanyiwa minor operation ya kuweka kiraka chini ya mfuko angalau kiweze kubeba mtoto mpaka hapo atakapozaliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.