Hebu kwanza... huyo uliyempa lifti ni Ke/Me?Hivi ukikutana na Mtanzania Moputo, Msumbiji. Anakusimulia mkasa wake kuwa hana kazi, hana hela, anadaiwa kodi ya nyumba na ameamua kurudi nyumbani. Yeye ni Mwenyezi wa Kigoma.
Wewe unaendesha gari. Unaamua kumpa lift. Mnafika Mtwara unamwambia ashuke, msaada wako umemfikisha Tanzania umemaliza.
Utakuwa umemsaidia au unemuobgezea matatizo?
Hivi ukikutana na Mtanzania Moputo, Msumbiji. Anakusimulia mkasa wake kuwa hana kazi, hana hela, anadaiwa kodi ya nyumba na ameamua kurudi nyumbani. Yeye ni Mwenyezi wa Kigoma.
Wewe unaendesha gari. Unaamua kumpa lift. Mnafika Mtwara unamwambia ashuke, msaada wako umemfikisha Tanzania umemaliza.
Utakuwa umemsaidia au unemuobgezea matatizo?
hapo mtwara ndio ulikua mwisho wa safari yako au ulitaka tu kumvusha boda?Hivi ukikutana na Mtanzania Moputo, Msumbiji. Anakusimulia mkasa wake kuwa hana kazi, hana hela, anadaiwa kodi ya nyumba na ameamua kurudi nyumbani. Yeye ni Mwenyezi wa Kigoma.
Wewe unaendesha gari. Unaamua kumpa lift. Mnafika Mtwara unamwambia ashuke, msaada wako umemfikisha Tanzania umemaliza.
Utakuwa umemsaidia au unemuobgezea matatizo?
Abebe kuzipeleka wapi? Kwani siku hizi jeshi halisimamii korosho?Utakua umemsaidia pakubwa sanaaa. Akibeba gunia za korosho kadhaa atapata nauli ya kumfikisha kigoma.
ππππ WABONGO BHANA!Jinsi tunavyojua kulalamika hapo atataka umfikishe hadi kigoma na kumkabidhi kwa wazazi wake ndio aridhike!
Ila umemsaidia sana ulitakiwa umuachie na hela kidogo ya kula!
We jamaa ulidedia wapi na nani kakufufua?hapo mtwara ndio ulikua mwisho wa safari yako au ulitaka tu kumvusha boda?
anyway, kwa kiasi fulani utakua umemsaidia.
Ulimuacha hivi hivi?hukumuachia hata hela kidogo ya kula?Kwa hiyo ni kheri ningemuacha Moputo.
HahahaTena nikiyompatia akijiongeza kwa kujibana anafika Kigoma japo kwa mabasi si kwa bombardier
abebe kutoka walipohifadhi wakulima kwenda wanaponunua serikali.Abebe kuzipeleka wapi? Kwani siku hizi jeshi halisimamii korosho?
Sent using Jamii Forums mobile app