Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
1. Shule za sekondari hasa kidato cha sita.
Shule nyingi kwenye practical za physics, chemistry na Biology walimu wa masomo husika wanawachangisha wanafunzi pesa ili wawape madini mapema kabla ya siku husika.
Kitendo hichi ni sawa na kumfundisha mwanafunzi au kumuandaa mwanafunzi awe mla/mtoa rushwa nzuri huko mbele aendako.
2. Vyuoni.
Kuanzia vyuo vya chini, kati mpaka vyuo vya juu wakufuzi na wasimamizi wamewageuza wanafunzi kama sehemu ya pili ya mapato.
Kipindi cha mitihani uhuni uhuni unafanyika mwingi sana ili tu wanafunzi wafaulu na walimu wapate pesa.
Kitendo hichi direct kinazalisha wahitimu (Watanzania wala rushwa) huko waendako.
3. Mchakato wa kupata kazi
Ni desturi ya miaka na miaka ili upate kazi sehemu fulani ni aidha wewe au mzazi wako ajuane na mfanyakazi au bosi wa ofisi husika. Hii iko private na government. Kama huna connection unaitafuta connection ya haraka kwa nguvu ya pesa.
Sio wote walioajiriwa wametoa rushwa au wamejuana na mabosi. Ila mifumo deeply iko hivyo.
Nimefanya mahojiano na wanajeshi kadhaa suala la kutoa takrima kwa wakufuzi ili wawatupie taulo au wawape utawala kwa lugha nyepesi wawape ahueni kwenye mikesha n.k lipo sana.
Cha ajabu mpaka daktari amewahi kunithibitishia kuwa wamewahi kuchanga pesa ili wapate utelezi.
Mpaka sasa sijawahi kuona jitihada za kweli za kusomesha rushwa na ufisadi Tanzania.
Afisa mmoja wa PCCB alinitonya kuwa alitoa pesa ili apate uhamisho kutoka Lindi kuja Dar es salaam
Shule nyingi kwenye practical za physics, chemistry na Biology walimu wa masomo husika wanawachangisha wanafunzi pesa ili wawape madini mapema kabla ya siku husika.
Kitendo hichi ni sawa na kumfundisha mwanafunzi au kumuandaa mwanafunzi awe mla/mtoa rushwa nzuri huko mbele aendako.
2. Vyuoni.
Kuanzia vyuo vya chini, kati mpaka vyuo vya juu wakufuzi na wasimamizi wamewageuza wanafunzi kama sehemu ya pili ya mapato.
Kipindi cha mitihani uhuni uhuni unafanyika mwingi sana ili tu wanafunzi wafaulu na walimu wapate pesa.
Kitendo hichi direct kinazalisha wahitimu (Watanzania wala rushwa) huko waendako.
3. Mchakato wa kupata kazi
Ni desturi ya miaka na miaka ili upate kazi sehemu fulani ni aidha wewe au mzazi wako ajuane na mfanyakazi au bosi wa ofisi husika. Hii iko private na government. Kama huna connection unaitafuta connection ya haraka kwa nguvu ya pesa.
Sio wote walioajiriwa wametoa rushwa au wamejuana na mabosi. Ila mifumo deeply iko hivyo.
Nimefanya mahojiano na wanajeshi kadhaa suala la kutoa takrima kwa wakufuzi ili wawatupie taulo au wawape utawala kwa lugha nyepesi wawape ahueni kwenye mikesha n.k lipo sana.
Cha ajabu mpaka daktari amewahi kunithibitishia kuwa wamewahi kuchanga pesa ili wapate utelezi.
Mpaka sasa sijawahi kuona jitihada za kweli za kusomesha rushwa na ufisadi Tanzania.
Afisa mmoja wa PCCB alinitonya kuwa alitoa pesa ili apate uhamisho kutoka Lindi kuja Dar es salaam