Jamani ligi ndo inakalibia kuanza Liverpool a.k.a liverpoor wame fulia kwa hiyo tunaomba michango yenu ili tuweze kuwasaidia katika usajili ili ligi iletemsisimko kama zamai.Mimi nimejitolea kwa kila mchezaji watakaye mtaka nitatoa asilimia 25 ya gharama za kumsajili na nitachangia asilimia 20 ya mshahara wake.:spy:
Jamani ligi ndo inakalibia kuanza Liverpool a.k.a liverpoor wame fulia kwa hiyo tunaomba michango yenu ili tuweze kuwasaidia katika usajili ili ligi iletemsisimko kama zamai.Mimi nimejitolea kwa kila mchezaji watakaye mtaka nitatoa asilimia 25 ya gharama za kumsajili na nitachangia asilimia 20 ya mshahara wake.:spy:
Vipi kuhusu Majimaji, reli, Lipuli, Tukuyu, Pamba, Coastal union, Pan Africa nk nadhani nazo zinahitaji mchango pengine kuliko Liverpool.
Wapi Uzalendo?
Mwisho unaweza ukajihisi na wewe ni Mwingereza bure.
Vipi kuhusu Majimaji, reli, Lipuli, Tukuyu, Pamba, Coastal union, Pan Africa nk nadhani nazo zinahitaji mchango pengine kuliko Liverpool.
Wapi Uzalendo?
Mwisho unaweza ukajihisi na wewe ni Mwingereza bure.