SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Tuseme wewe ni mfanyabiashara wa kiume unauza bidhaa au huduma fulani. Unaenda ofisi fulani binafsi au taasisi ili uwin tenda au uuze bidhaa/huduma yako.
Unakutana na binti/mdada/mmama ambaye ndiye mwenye mamlaka ya kutoa tenda hiyo au kuidhinisha mauzo kwako au labda tu ana ushawishi fulani hapo. Kimuonekano anaridhisha 😆😆. Unaona kuna ugumu au usumbufu wa kupata hiyo kazi. Unaona ukioffer kumgegeda kuna uwezekano wa hiyo tenda au proposal yako kukubaliwa.
Ni maneno gani unayoweza kutumia kumwambia huyo binti/bidada/mmama bila kuitiwa polisi au kutukanwa?
Nilipoanza purukushani za biashara nilikuwa na mzee mmoja alikuwa kama ni mlezi wangu kwenye mambo ya biashara. Siku moja nilikuwa nafukuzia tenda fulani kutoka kwa mdada mmoja hivi alikuwa na biashara yake. Yule mzee akanishauri nimuofe yule binti penzi ili anipe ile tenda.
Sikufanya alivyonishauri ila ushauri wake mara nyingi naufikiliaga sana nikiwa kwenye changamoto kama hizi ila sijuagi ni maneno gani ya kutumia. Najua ni mambo yanayofanyika sana kwa hiyo msiwe wachoyo kushare mautundu.
Hapa siongelei kazi ya kuajiriwa na pia anayetoa offer ni mwanaume na mlengwa ni mdada/mwanamke.
Unakutana na binti/mdada/mmama ambaye ndiye mwenye mamlaka ya kutoa tenda hiyo au kuidhinisha mauzo kwako au labda tu ana ushawishi fulani hapo. Kimuonekano anaridhisha 😆😆. Unaona kuna ugumu au usumbufu wa kupata hiyo kazi. Unaona ukioffer kumgegeda kuna uwezekano wa hiyo tenda au proposal yako kukubaliwa.
Ni maneno gani unayoweza kutumia kumwambia huyo binti/bidada/mmama bila kuitiwa polisi au kutukanwa?
Nilipoanza purukushani za biashara nilikuwa na mzee mmoja alikuwa kama ni mlezi wangu kwenye mambo ya biashara. Siku moja nilikuwa nafukuzia tenda fulani kutoka kwa mdada mmoja hivi alikuwa na biashara yake. Yule mzee akanishauri nimuofe yule binti penzi ili anipe ile tenda.
Sikufanya alivyonishauri ila ushauri wake mara nyingi naufikiliaga sana nikiwa kwenye changamoto kama hizi ila sijuagi ni maneno gani ya kutumia. Najua ni mambo yanayofanyika sana kwa hiyo msiwe wachoyo kushare mautundu.
Hapa siongelei kazi ya kuajiriwa na pia anayetoa offer ni mwanaume na mlengwa ni mdada/mwanamke.