Gilala
Member
- Apr 8, 2012
- 24
- 0
Kwanza mniwie radhi kwa Title yangu namna nilivyo iweka hapo juu.
Nikwamba mie nina Ndoo na gereni(Mke&kimada) ila nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo, mara kwa mara ninapo lala huota ndoto kuwa nipo nafanya mapenzi na mtu, nikija kushituka asubuh hujikuta chupi imelowa yote shahawa.
Zaman hii hali ilikuwa inanitoke nikimaliza cku nyingi bila kufanya, nakuwa na ugwadu najikuta nikijimalizia mwenyewe kitandani, ila sasa nina mke tena na kimada na huwa cpitishi cku mbili cjachoma.
Msaada wenu wa mawazo ikibidi hata tiba, ni aibu cku wife akija kunikuta nimelowa wakati wakati wote tupo kitanda ki1.
Nikwamba mie nina Ndoo na gereni(Mke&kimada) ila nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo, mara kwa mara ninapo lala huota ndoto kuwa nipo nafanya mapenzi na mtu, nikija kushituka asubuh hujikuta chupi imelowa yote shahawa.
Zaman hii hali ilikuwa inanitoke nikimaliza cku nyingi bila kufanya, nakuwa na ugwadu najikuta nikijimalizia mwenyewe kitandani, ila sasa nina mke tena na kimada na huwa cpitishi cku mbili cjachoma.
Msaada wenu wa mawazo ikibidi hata tiba, ni aibu cku wife akija kunikuta nimelowa wakati wakati wote tupo kitanda ki1.