Kutoa tuzo au tunzo, daktari alinitibu au alinitibia

Kutoa tuzo au tunzo, daktari alinitibu au alinitibia

L'AMOUR

Senior Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
111
Reaction score
24
Wan JF naomba wataalam wa lugha wanisaidie kama ni kutoa tuzo au tunzo kwa mtu anapopongezwa kwa kufanya vizuri. Pia je daktari alinatibu au anatibia ugonjwa. Ninaogopa hata kuendelea na sentensi nyingi maana nahisi kiswahili kinazidi kuwa kigumu siku hadi siku
 
Thank Pmwasyoke kwa kunisaidia lugha hii ngumu sasa itabidi kupambana na hawa wanaoiharibu
 
L'AMOUR ............avatar yako......NIKUPE HONGERA
 
Asante Mwenzetu nashukuru kwa kuiona. Panapofaa kupongezwa inabidi kupongeza tu sio mtu unavutiwa na kitu kisha unakaa kimya. Nashukuru sana mwanaJf Mwenzetu
 
Back
Top Bottom