Ingekuwa vizuri sana kama ungefafanua zaidi baba.
make sure hauna Kansa kabla ya kutumia hiyo huduma
Wakubwa kuna hii huduma ya kutoa uchafu mwilini nadhani imeanzishwa na watu wa jamii ya kichina lakini sasa naona kuna wakenya na baadhi ya waTZ nao wanatoa hiyo huduma. Kuna vitu wanakufunga mwilini na miguu yako inakuwa kwenye beseni lenye maji, hivyo vitu vinakuwa vimeunganishwa na mashine, baada dakika chache baada ya hiyo mashine kuwashwa maji yanabadilika rangi na kuwa myeusi kabisa na mafutamafuta ambayo wanasema ni uchafu kutoka mwilini.
Naomba kujua ukweli wa hii tiba. na pia kama kuna madhara yoyote ambayo mtu anaweza kupata.
Wakubwa kuna hii huduma ya kutoa uchafu mwilini nadhani imeanzishwa na watu wa jamii ya kichina lakini sasa naona kuna wakenya na baadhi ya waTZ nao wanatoa hiyo huduma. Kuna vitu wanakufunga mwilini na miguu yako inakuwa kwenye beseni lenye maji, hivyo vitu vinakuwa vimeunganishwa na mashine, baada dakika chache baada ya hiyo mashine kuwashwa maji yanabadilika rangi na kuwa myeusi kabisa na mafutamafuta ambayo wanasema ni uchafu kutoka mwilini.
Naomba kujua ukweli wa hii tiba. na pia kama kuna madhara yoyote ambayo mtu anaweza kupata.
make sure hauna Kansa kabla ya kutumia hiyo huduma