Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
MSAMIATI UNAOTUMIKA KUMAANISHA ‘KUJAMBA’ AU ‘KUTOA USHUZI’ NI:
1. Fart: Hili ndio neno linalotumika sana. Huweza kutumika kwenye mazingira rasmi na yasiyo rasmi (Formal and Informal settings)
Mfano: Jesca farts a lot. (Jesca hutoa ushuzi sana / Jesca hujamba sana)
2. Flatulate: Hili ni neno rasmi (formal), ivyo hutumika sana kwenye mazingira rasmi.
Mfano: Jackline flatulated in the headmaster’s office. (Jackiline alitoa ushuzi ofisini kwa Mkuu wa Shule / Jackline alijamba kwenye ofisi ya Mkuu wa Shule)
3. Break wind: Hii ni tafsida, yaani lugha ya uficho, staha, au adabu kuelezea kujamba. Inatumika kupunguza ukali wa neno ‘jamba’ katika lugha ya Kiingereza.
Mfano: My daughter broke wind in the church last week. (Binti yangu aliachia ushuzi kanisani wiki iliyopita / Binti yangu alijamba kanisani wiki iliyopita)
4. Pass gas: Hii pia ni tafsida. Nadhani inajieleza wazi kuwa ni ‘kupitisha/toa hewa/gesi’.
Mfano: If you eat that food it will cause you to pass gas. (Kama utakula chakula hicho kitakufanya utoe ushuzi / Endapo utakula chakula hicho kitakusababisha ujambe).
Kwa ufupi huo ndio msamiati unaozungumzia suala zima la ‘kujamba’ au ‘kutoa ushuzi’. Cha muhimu kwako ni kuzingatia muktadha, na kuzingatia matumizi sahihi ya tense kwenye verb conjugation.
KAMA UMEPENDA POST HII, USISAHAU ‘KUSHARE’ KWA NDUGU, JAMAA, NA MARAFIKI (TUSAIDIANE KATIKA KUELIMISHANA).
1. Fart: Hili ndio neno linalotumika sana. Huweza kutumika kwenye mazingira rasmi na yasiyo rasmi (Formal and Informal settings)
Mfano: Jesca farts a lot. (Jesca hutoa ushuzi sana / Jesca hujamba sana)
2. Flatulate: Hili ni neno rasmi (formal), ivyo hutumika sana kwenye mazingira rasmi.
Mfano: Jackline flatulated in the headmaster’s office. (Jackiline alitoa ushuzi ofisini kwa Mkuu wa Shule / Jackline alijamba kwenye ofisi ya Mkuu wa Shule)
3. Break wind: Hii ni tafsida, yaani lugha ya uficho, staha, au adabu kuelezea kujamba. Inatumika kupunguza ukali wa neno ‘jamba’ katika lugha ya Kiingereza.
Mfano: My daughter broke wind in the church last week. (Binti yangu aliachia ushuzi kanisani wiki iliyopita / Binti yangu alijamba kanisani wiki iliyopita)
4. Pass gas: Hii pia ni tafsida. Nadhani inajieleza wazi kuwa ni ‘kupitisha/toa hewa/gesi’.
Mfano: If you eat that food it will cause you to pass gas. (Kama utakula chakula hicho kitakufanya utoe ushuzi / Endapo utakula chakula hicho kitakusababisha ujambe).
Kwa ufupi huo ndio msamiati unaozungumzia suala zima la ‘kujamba’ au ‘kutoa ushuzi’. Cha muhimu kwako ni kuzingatia muktadha, na kuzingatia matumizi sahihi ya tense kwenye verb conjugation.
KAMA UMEPENDA POST HII, USISAHAU ‘KUSHARE’ KWA NDUGU, JAMAA, NA MARAFIKI (TUSAIDIANE KATIKA KUELIMISHANA).