Mkuu coca ni kifupi cha cocaine, by da way hivi suala la kipini tuliishia wapi vileNimekaa hapa Bar nashushia cocacola yangu baridi mdogomdogo, pembeni yangu hapa kuna jamaa kaikata konyagi chupa nzima na sasa anaagiza bia. Sasa ananionya kwamba cocacola sio nzuri kwa afya yangu. Sasa nimebaki nimepigwa na mshangao tu...
Mawazo ya kitoto kweliKatika siku za karibuni mwanamuziki daimond ambae video zake zinaoneshwa karibu na kila tv hapa nchini ametoboa pua na kueka picha yake, hili ni suala ambalo ni geni hapa kwetu na kwa mila zetu hivyo basi BASATA ipige marufuki video zake ili wale ambao walikua ni role model wao wasije nao wakaiga huo upuuzi masna wao wanafuata kila anachofanya mtu wao, pia na mashabiki ambao wanamshabikia huyu jamaa ni muda wa kumkataa nakumuonesha kuwa nasi tu na mila zetu na sio za kishenzi kama wanavyoaminishwa huko. Plz lets say no to diamondkipini
Mkuu coca ni kifupi cha cocaine, by da way hivi suala la kipini tuliishia wapi vile
Mwanaume wa dar tena wa sinza.
embu ata picha mkuu,,,maana hata sijaamini hili
kwa kifupi ni amepanda daraja - masonicKatika siku za karibuni mwanamuziki daimond ambae video zake zinaoneshwa karibu na kila tv hapa nchini ametoboa pua na kueka picha yake, hili ni suala ambalo ni geni hapa kwetu na kwa mila zetu hivyo basi BASATA ipige marufuki video zake ili wale ambao walikua ni role model wao wasije nao wakaiga huo upuuzi masna wao wanafuata kila anachofanya mtu wao, pia na mashabiki ambao wanamshabikia huyu jamaa ni muda wa kumkataa nakumuonesha kuwa nasi tu na mila zetu na sio za kishenzi kama wanavyoaminishwa huko. Plz lets say no to diamondkipini
**USHAURI WA BURE KWA BASATA**Katika siku za karibuni mwanamuziki daimond ambae video zake zinaoneshwa karibu na kila tv hapa nchini ametoboa pua na kueka picha yake, hili ni suala ambalo ni geni hapa kwetu na kwa mila zetu hivyo basi BASATA ipige marufuki video zake ili wale ambao walikua ni role model wao wasije nao wakaiga huo upuuzi masna wao wanafuata kila anachofanya mtu wao, pia na mashabiki ambao wanamshabikia huyu jamaa ni muda wa kumkataa nakumuonesha kuwa nasi tu na mila zetu na sio za kishenzi kama wanavyoaminishwa huko. Plz lets say no to diamondkipini