Kutoboa ukiwa Yanga SC kwenda kucheza Soka la nje ni ngumu

Bigirimama si mnadai mlimtoa New castle nyie?

Willson huruma ulimsikia alichosema jana?

Alisema yule wa New Castle ndio huyu tunayemuaona hapa taifa au huyu ni mjomba wake?
Ajabu ni nini? Solomon Kalou na Song si wapo hapo Djibouti na walipeza EPL ulitaka Bigirimana awe na miguu 4?
 
Amini nakuambia kwamba, Feisal hana uwezo wa kucheza timu ingine zaidi ya Yanga hata hapa Tanzania.
 

umesema sahihi sana mkuu
 
Reactions: tyc
Hahaha eti hampokelei simu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Sasa hao waliocheza na timu kubwa za Africa nani katoboa ? hebu baelezee !
Hawawezi kutoboa kwa kuwa hizo timu zilishajua kuwa hamshindi kwa mpira uwanjani bali mbinu zingine kama kupulizia madawa ya kuwachosha wapinzani kila sehemu watakayo kuwapo ikiwemo hotelini, kwenye usafiri hadi uwanjani kwenye vyumba vya kubadilishia nguo na ndo mana timu za nje zikija hapa hata kukimbia wanakuwa hawezi wamechoooka, basi hapo ndo utamuona boko anavotimua mbio kama farasi aliekata kamba ! kumbe mshawachosha kwa madawa yenu na ndo mana timu za nyumbani zishawajulia hamtoboi mnapigwa tu magoli !
 
Mchezaji wa mwisho kutoka yanga aliyeenda kucheza soka la nje hivi karibuni ni Simon msuva wakati simba kuna wachezaji wengi walipitia na wakapata dili nje ya Tanzania kama adam salamba yanga ni wazee wa propaganda.
 
Reactions: tyc
Hata huyo Habib kyombo alitoka timu ndogo tu na sio hiyo timu yenu na hata hivo kashindwa akarudi huko kwenye alizeti akatafute maisha ! acheni kujifariji na porojo zenu za alfu lela ulela
 
Mchezaji wa mwisho kutoka yanga aliyeenda kucheza soka la nje hivi karibuni ni Simon msuva wakati simba kuna wachezaji wengi walipitia na wakapata dili nje ya Tanzania kama adam salamba yanga ni wazee wa propaganda.
Haya huyo Salamaba yuko wapi ?
 
Juzi kuna team iliwamwagia waarabu maji ya maiti.
 
Hata huyo Habib kyombo alitoka timu ndogo tu na sio hiyo timu yenu na hata hivo kashindwa akarudi huko kwenye alizeti akatafute maisha ! acheni kujifariji na porojo zenu za alfu lela ulela
Habib kyombo alipata majeraha hakubahatika kucheza aliposajiliwa kimataifa kwa hyo huwezi kusema amefeli moja kwa moja.
 
Comment bora ya mwaka huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…