Nimepitia orodha ya waamuzi walioteuliwa kutumika kwenye mashindano hayo yanayoanza Januari,lakini sijaona mtanzania hata mmoja.
Jambo hili,halipendezi na sijui waamuzi wanalichukuliaje!
Je ninyi waamuzi hamuoni ni kwa sababu ya tamaa za wengi wenu kuibeba timu fulani ili ivunje record?Hamuoni aibu hii?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Jambo hili,halipendezi na sijui waamuzi wanalichukuliaje!
Je ninyi waamuzi hamuoni ni kwa sababu ya tamaa za wengi wenu kuibeba timu fulani ili ivunje record?Hamuoni aibu hii?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app