embu nieleze vizuri mkuu maana kuna mtu nimekutana nae kama week mbili zilizopita anadai haoni siku zake sasa maana yeye anapata kati ya 20-24 na pia anadai hakufanya ngono muda mrefu tangu akutane namimi hivi karibuniHibadilishi chochote na zaidi inaimarisha mzunguko na quality ya papuchi kuwa tyt zaidi.
Kinachoharibu mzunguko ni contraceptives karibu zote kasoro condom na postinor a.k.a airbag
labda yai umefanya kulirutubisha na mbegu zako za kiume ( mimba tayari ), vizuri akapime kama mimba au mabadiliko ya hali ya hewa au vyakula hua vinachangi kubadili mzunguko.Anadai haoni siku zake tangu tufanye ngono kama week mbili zilizopita pia anadai labda sababu hajakutana na mwanaume kwa kipindi kirefu sana
Mara nyingi wanawake wanapenda kufanyaga sex siku za kwenye heat. Inamaana ovulation day. Hata awe mgumu vipi ukimbananisha siku ya ovulation lazma akupe tunda la ela yote.embu nieleze vizuri mkuu maana kuna mtu nimekutana nae kama week mbili zilizopita anadai haoni siku zake sasa maana yeye anapata kati ya 20-24 na pia anadai hakufanya ngono muda mrefu tangu akutane namimi hivi karibuni
Nilitumia Kinga wakuu sijafanya bila kingaMara nyingi wanawake wanapenda kufanyaga sex siku za kwenye heat. Inamaana ovulation day. Hata awe mgumu vipi ukimbananisha siku ya ovulation lazma akupe tunda la ela yote.
Jaribu kufuatilia kama ulipiga kati ya tarehe 3-7 wahi babyshop ukapate estimate ya bei za diapers na accesories nyingine za mtoto