Kutofikishwa kibo kunaweza kukufanya ubadili ubadili mwongoza njia?


Yes it is true coz we know how to touch ourselves, sometimes mkaka ana makucha halafu anatouch cl..s ni maumivu badala ya raha, kuna wadada wanakuwa stimulated internally na wengine externally, wa internal inabidi uwe flexible kuweza in n outs while unamstroke clito, which sometimes ni ngumu as mkaka nawe unakuwa umekolea unaconcentrate kwa pleasure zako, first I though I was abnorma nikawa nasoma kila article I came across kuhusu sexuallity nikaja kupata moja ikasema more than 80% ya wanawake wanakuwa stimulated internally that is to say hawako active in breasts, sijui kiuno n.k its inside starting from clit to G spot
 

Mkuu kituko inabidi tukufungulie tution ya hii safari lol! darasa lako litajaa na watu watakosa nafasi ya kukaa.Nakubaliana na wewe kuhusu matumizi ya mikono siunajua kuna sehemu zina steep slop na hapo huwezi kutumia fimbo utadondoka tu,na mikono lazima iwe fasta lol! unywaji wa maziwa ni jambo la msingi kujihakikishia calcium na madini mengine muhimu japo kuna watu wavivu wa kunywa maziwa.

Ila kipengele cha munyu kuna watu wana allergy na hawapendi kabisa kutumia chumvi matokeo yake mifupa inakua dhaifu na wanashindwa kuwafikisha wateja kibo.Kimsingi ulaji wa munyu wateja wengi huwa nanafurahia kuona porter wao wanatumia,na wengi wanapenda ila wanaona aibu kusema kama wanapenda.Mkuu kituko naunga mkono hoja.
 
Angalizo japo ni nje ya kilichoulizwa . . . . Unapofikishwa sema ukweli kwamba umetosheka . . na kama hujatosheka sio kujifanyisha vituko mara kumzuia mwenzio asipumzike . .. . mara. .... si unajua ...?
Tutor hapa umesema,wengine hawasemagi asante ahata waki enjoy a beutiful view ya kibo.Ila asante huwa inamvutia sana porter anaweza akakupa ofa nyingine ha ha haaaaaa!
 

We Mario wewe mtundu sana minilikuwa sijui kama unaweza kusukuma gari bila kushuka,mikucha ya nini bana mlima sometimes hautaki kutumia vitu vigumu kitu ulimi bwana kibo ndani ya dakika chache tu ha ha haaaaa!!
 
mweleze mwenzio kama atashindwa tena tafuta another_one.
 


hii lugha ya picha imenifanya nisome kila ujumbe uliomo humu, tx
 
mi nampenda sana ninae mwongoza maana haachi kunisifia hata kama nikichoka na kuishia njiani, hali hiyo imenifanya niwe najituma sana na kuhakikisha kuwa anafika kibo/mawenzi..!

angalizo: pota inabidi uwe unapajua kibo/mawenzi vizuri maana safari ikiboa unae mwongoza anaweza kukudanganya kuwa hapa ni kibo/mawenz kumbe anataka tu safari iishe maana haenjoy tena.

My advice: ni vizuri kila safari iwe na uniqueness yake ili unaemwongoza afurahi, wengine wameshatoa hapo juu mbinu mbali mbali sina haja ya kuzirudia. safari za alfajiri ni nzuri sana kwan wote mnakuwa fresh.

mwisho: nawatakia safari njema ma-POETRS na wapanda mlima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…