Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 432
- 703
Je ! hii Order ya Mungu tuna itekelezaje??
Maana kuna mwanamke ana uwa kila baada ya Mwaka Ukoo unaisha na kila mtu ana mjua na yeye mweyewe ana wambia watu wata mtambua.. na akisha kwambia hivyo utaanza kumuona kupitia ndoto anavyo kutesa na baada ya Muda, Wana ukoo watakuzika.. nayeye Hafiki kwenye msiba ila anajisifu kwa uchawi na ana tisha watu, kitu kidogo tu ana kwambia utaona na usipo mfuata uka malizana naye basi humalizi Miezi mitatu utapatwa na mauza uza na magonjwa yasiyo julikana kwa vipimo vya madoctor mpka unakufa.
Hivi ninvyo ongea tume shazika wana ukoo waliyokuwa na ugomvi naye wapatao 9.
Mwanamke huyu ame maliza watoto wake kwa vifo ana ishi ndani mwenyewe Mume alisha mkimbia baada ya kumtamkia ange maliza muda wake ukifika.. .
Je hii amri ya Mungu aliyetupa tuna itekelezaje ?
Maana kuna mwanamke ana uwa kila baada ya Mwaka Ukoo unaisha na kila mtu ana mjua na yeye mweyewe ana wambia watu wata mtambua.. na akisha kwambia hivyo utaanza kumuona kupitia ndoto anavyo kutesa na baada ya Muda, Wana ukoo watakuzika.. nayeye Hafiki kwenye msiba ila anajisifu kwa uchawi na ana tisha watu, kitu kidogo tu ana kwambia utaona na usipo mfuata uka malizana naye basi humalizi Miezi mitatu utapatwa na mauza uza na magonjwa yasiyo julikana kwa vipimo vya madoctor mpka unakufa.
Hivi ninvyo ongea tume shazika wana ukoo waliyokuwa na ugomvi naye wapatao 9.
Mwanamke huyu ame maliza watoto wake kwa vifo ana ishi ndani mwenyewe Mume alisha mkimbia baada ya kumtamkia ange maliza muda wake ukifika.. .
Je hii amri ya Mungu aliyetupa tuna itekelezaje ?