Yes anweza lakini kwa kuanzia na ngazi ya stashahada ya clinical medicine then unaendelea na ngazi ya MD. Maana matokeo yako ya form four yataangaliwa zaidi na kwa MD ujitahidi walau upate GPA ya 3 plus at least 3.5 and above.
Kwa mitaala inayosimamiwa na NACTE utakuwa umemaliza NTA level 6 then ni rahisi kama ume qualify kuendelwa na NTA level 7 Ambayo ni ngazi ya MD.