[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sijui namuona tu wkend nkiwa mjini na umbo lake kma mkate wa supa loaf
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sijui namuona tu wkend nkiwa mjini na umbo lake kma mkate wa supa loaf
NakaayaUnampenda nani sasa? Dada mtu Mdogo mtu?
Hata le mbebez wko kuendesha noah chakavu sio sawa ule mwili wke inatakiwa aendeshe treni ya mwakyembe,ruti ya stesheni gongolambotoJamani kah!
Weee mjanja...eti shunie hajui ni nani? Mzembe kweli haaahaaa
HaahaaaUmeanza na ww naona wakina wit wameshakuambukiza mambo ya code
Shunie nae kila siku ananisemaga miye sijui mafumbo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kabaki analalama na nyuzi mia mia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani jamani!muacheni nakaaya wa watuHata le mbebez wko kuendesha noah chakavu sio sawa ule mwili wke inatakiwa aendeshe treni ya mwakyembe,ruti ya stesheni gongolamboto
Mmh...asee fi...ca?Mmiliki wa bank yenye neno La mwisho bara tulilopo
Haahaaa
Mume Aijue Dini , asiwe mnywa pombe wala kilevi cha aina yoyote asiwe mvuta sigara au shisha au bangi... Ni mwanamme Makini atakayeweza kukuongoza kutoka sehem mbaya nakuja sehemu sahihi.Ila hata hivyo alijiweza kua na bwana anaeabudu shiriki..duh!
Ewaaaa...mbongo pyuaaaaBank Africa....!!!duh!muarabu au mhindi!!!
[emoji23] [emoji23] maana hao ndo zao hao
Bibie weewee!kule kwenye kufuliiKwahiyo wit alikuwa anamsema nakaaya kaiba mume wa nani
[emoji23]Hebu tajeni basi hayo majina...ubuyu uwe mtamu khaa!
Sasa Sh......ndo nini?
BOA...ni mhindi orBank Africa....!!!duh!muarabu au mhindi!!!
[emoji23] [emoji23] maana hao ndo zao hao
Kumbeerr.....!!so ana Mali ila hazifaidi...?!!Ewaaaa...mbongo pyuaaaa
Mmmh umekosa vya kupenda[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nakaaya
HuhuuuuNakaaya
Bibie weewee!kule kwenye kufulii
Ulikoshushuliwa weye baadae ukaombwa radhii!!
Mbebi wa Ulaya yupo jf..
Shoga ndo hyo kasemaBOA...ni mhindi or