D
Tena na kichambo juuMmmh...navyopenda kuendesha gari mimi, siku mganga ananipa sharti la kuimiliki tu ila nisiendeshe ntamrudishia utajiri wake!
Wewe usinambie!...kichwa cha habari kinasemaje?
Wadada mliowahi kutafuta wachumba JF na kupata njooni hapa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] hatarii thijaona
Tena na kichambo juu
Nmesoma huu uzi kumbe ni watoto wa chuga! Ibra mume wa Irene namjua ila sikujuaga ni "fundii" kihivo asee hawa matozi wnaficha mengi na Irene itakuwa alipagawaga na utozi coz aliolewa bado mdogo! Na Ruth na yeye vitu vingine aminye tu! Kwani nani hajui watu bongo wanaroga! Mkisikia au kuona uchawi kwenye soka la bongo si mtadata! Afu alichokuwa anafanyiwa ni kupandisha nyota yake tu hata hamrogi mtu!Na dada yake ni marehemu ,hujakosea kabisa
Yawezekana piaMke kumkimbia ndio akaanza kukitembeza kwa wadada wa jf
Hata le mbebez wko kuendesha noah chakavu sio sawa ule mwili wke inatakiwa aendeshe treni ya mwakyembe,ruti ya stesheni gongolamboto
hivi ni kwanini etiWatu wanaovaa kanzu na vibarakashia wanapenda sana mambo ya USHIRIKINA, 99.99% na hilo halina ubishi. Quaran yenyewe ukisoma hadithi zake zimekaa kishirikina kishirikina zaidi. Waganga wengi wa kienyeji ni Waislamu au Wapagani, huwezi kumkuta Mganga wa Kienyeji Mkristo, hakuna hata mmoja.
Sisemi wamiliki wa migodi Wakristo hawafanyi ushirikina bali nachokisema hapa ni kwamba matajiri wengi ambao ni Waislamu ni washirikina mbaya.
Nilienda kwenye Uzi wa Venus aliokua anatafuta mume..nikaona gilesi amemtakia kheri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilienda kwenye Uzi wa Venus aliokua anatafuta mume..nikaona gilesi amemtakia kheri
Lahaulah!! Mwisho wa picha kumbe bwana mwenyewe ndie yule wake
[emoji23] [emoji23] wakajikuta wanagonganishanaNilienda kwenye Uzi wa Venus aliokua anatafuta mume..nikaona gilesi amemtakia kheri
Lahaulah!! Mwisho wa picha kumbe bwana mwenyewe ndie yule wake
Hahahaha[emoji23] [emoji23] wakajikuta wanagonganishana
Arifuu tunasubiria hukumu tu mwenye hatia abebe mzigo wke ni mwezi huuMzee baba kesi ya kina sharif imefikia wapi ?
ukute hawakuhoji maybe wanajua "mambo" yake....Duh!hivi aliwezaje lakini hyo maiti alivyofika nayo walishindwa hata kuhoji?!!
Huyo Dada nae aliuvagaa tu kuolewa na huyo
Hii fasihi kali sana!! Agiza Wine hapo kwa Mangi then nirushie namba yake ya Mpesa.Kuna aliyembikiri mtoto wake ili nyota yake ing’ae na iling’aa kweli Afrika nzima lakini sasa inaanza kufifia. Ninadhani alikiuka masharti ya mganga amefanya vurugu nyingi mpaka kupora wake za watu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm na mapombe yangu siku si nitasahau na kulala kitandani acha tu nibaki na umasikini wangu
[emoji23][emoji23][emoji23]asee watu mna maneno...eti aendeshe canter dahMimi siko insta nimeona humu wanasema ndio kapost hiyo picha,huyo nakaya mwili kma lemutuz halafu unaendesha porte,heri angeendesha lori au canter
Ibra alishafiwa na dada yke kitambo nae sijui ilikua kafara au ya munguHahahah yupo Moshono
Sasa ule mwili si wa dreva wa treni sio gari[emoji23][emoji23][emoji23]asee watu mna maneno...eti aendeshe canter dah
Si hata Askofu (R.I.P) alikuwa na tuhuma za ufuska ...Familia ina laana ile..Kaka yao Emma ndio alikuwa kuwadi mkuu wa matajiri wa mererani malaya wa kutupwa
si ana mke na watoto kabisaKhaaaa kwa guro kwani mume wa mtu au mchumba yule