Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Teh teh teh haya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] napenda picha na video ngoja nifungue pm
Me sawa?Ni me huyo
Mnoooo!!!Haaahaaa..pombe na dini mchanaga humwambii kitu
Maandamano yetu yatasambaratishwa na boro la shemela maana yeye mwenyewe alisema ni mtu hatari
Hawa mods wanabore kama niniHalafu ile thread imefungwa ujue mods sijui wanapita kimyakimya kusoma tunayochangia niliyoweka link
Asee...kwahiyo sisi ndo tatizo?
Ndo manini sasa haya?! Nimeamini tunafatiliwa kinoma!Ha ha
Afu uzi ukiwa unasasambuliwa mtu huwa unatamani kuvunja team na safu nzima ya modes.
Afu ajabu uzi wowote ukimtaja utafungwa.Usije na huu ukafungwa.
Teh teh teh haya
KabisaaUkifungwa huu tutaandamana
Possible yaani comments ya mwisho ya ms LincolnHili nalo neno ujue haiwezekani ghafla tu ifungwe thread ipo toka mwaka jana
Bora chupa mama , mie ni mwanaharamu walau nitajitahidi nitoe hata kidole nje ,tatizo ni ukinikalia kama chapati ...Pm yako waje tu wale wa Sumbawanga ,Kigoma na Watanga wenzio na umasai wangu huu hapanaHahahahahaa. Ntaenda kukutia kwenye chupa usije mwaya
Teh teh teh haya
Hujibiwi na hausikilizwiNakazia...mi nilishangaa kuna siku kalalamika mara hao fasta wameshamjibu kiunyenyekevu....lalamika wewe kama utajibiwa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...Maandamano yetu yatasambaratishwa na boro la shemela maana yeye mwenyewe alisema ni mtu hatari
Hawa mods wanabore kama nini
Possible yaani comments ya mwisho ya ms Lincoln
I hate this bitterly[emoji82] [emoji82] [emoji82]Hawa mods wanabore kama nini
Bora chupa mama , mie ni mwanaharamu walau nitajitahidi nitoe hata kidole nje ,tatizo ni ukinikalia kama chapati ...Pm yako waje tu wale wa Sumbawanga ,Kigoma na Watanga wenzio na umasai wangu huu hapana
Haha ndio Mimi nilikuwa nakufurahisha huwa unacheka mwenyeweHivi mwanzo ulikuwa unapenda kutumia avatar ya Bob marley eeh sijui nimefananisha id