Wana watu na watuUmeona eeehh!ngoja siku nianzishiwe Uzi wa kichambo tuone kama utafungwa
Umeona eeehh!ngoja siku nianzishiwe Uzi wa kichambo tuone kama utafungwa
Mama ni mwiko haya mambo kuyaweka hadharani nitatengwa na jamii ya kimasai nani anataka avalishwe ngozi mbichi ya kondoo na kuimbiwa upya na utu uzima huu ? Hiyo research yako unataka ugundue nini ?Jamani kingozi nipo kwenye research mie ndio mana nimekuuliza cc @Mzigua90
Unataka nini?
HuuhuuuKingozi dada [emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85]
Mm kuna siku nilichamba walikuwa wananipa ban mfululizo nikiingia siasani tu ban nikawekea thred na ilichangiwa wasiifute nnWana watu na watu
Dah nimekoma aisee hutoniona tena ndio mambo ya kufikiriwa ni mwanamkeUmbea[emoji23] [emoji23]
Waeza kuta bwana mwenyewe ni mmoja wa mods [emoji23][emoji23]Umeona eeehh!ngoja siku nianzishiwe Uzi wa kichambo tuone kama utafungwa
Tutapigwa ban ili nchambwe vzr haswaaYaan kama naona tutakavyopata ban na tutaongea tu ukweli
Mama ni mwiko haya mambo kuyaweka hadharani nitatengwa na jamii ya kimasai nani anataka avalishwe ngozi mbichi ya kondoo na kuimbiwa upya na utu uzima huu ? Hiyo research yako unataka ugundue nini ?
Bob kuna mtu alimchukua sikumbuki hata ID yake ndio maana nikamuweka hommer[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mrudishe Bob bwana leo ndio nimejua kama ni wewe
Huuhuuu
Eeh jamani mkuu nakutania...kwani ni kkikuhisi we ni ke ndo dyudyu itageuka kuwa kiarage ama?...yaan wanaume hampendi[emoji23] [emoji23]Dah nimekoma aisee hutoniona tena ndio mambo ya kufikiriwa ni mwanamke
Hamna bwana relaxDah nimekoma aisee hutoniona tena ndio mambo ya kufikiriwa ni mwanamke
Waeza kuta bwana mwenyewe ni mmoja wa mods [emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] umeona eeehh!!so full kutukomesha!!Waeza kuta bwana mwenyewe ni mmoja wa mods [emoji23][emoji23]
Jamani si ugoogleBob kuna mtu alimchukua sikumbuki hata ID yake ndio maana nikamuweka hommer
Haaahaaa....ndo tuwaulize eti mods mna matatizo gani na baadhi ya watu??Mm kuna siku nilichamba walikuwa wananipa ban mfululizo nikiingia siasani tu ban nikawekea thred na ilichangiwa wasiifute nn
Mi pia nawachanganyagaHamna bwana relax
Teh teh Shunie leo wa kufungua Pm kirahisi hivi ?Nakuja pm jamani usije ukavalishwa ngozi ya kondoo mbichi unitumie japo kapicha