eucalyptos
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 391
- 139
rais mshirikina, anaanza hotuba kwa kusema kuwa hakuna hakuna mchawi jangwani!
Kumbe wewe ufikiri Dr. Slaa alikuwa mwenyekiti wa kamati ya hesabu za serikali za mitaa. Hilo jambo nilianza kulisikia kipindi kamati ya LARC Ikipitia hesabu hizo za halmashauri. MWANAUME MZIMA UNAUHUSUDU HERENI MASIKIONI !!! SHAME ON YOUhuo ndio ukurukupukaji wenyewe, kwanza bajeti ya halmashauri nzima ya b'moyo si zaidi ya bilioni 12, haingii akilini kwa mtu kama slaa kutoka hadharani na kusema matundu ishirini ya vyoo yametumia bilioni saba, lakini slaa anajua wapi kwa kupata taarifa sahihi na kwenye taarifa za utekelezaji wa ilani za wagombea(kwani kamati ya slaa aliyokuwa ana chair bungeni inahusika na nini hadi asijue). Sasa upuuzi kama huu anweza kuusema mtu tunayetegemea kuwa rais? Ungekuwa na akili timamu ungejua Utoh alimtukana sana Slaa.
Una uhakika? tusubiri kura za watanzania ziamueHawezi kushinda.
That's why you have a single post.
Watch your tongue!
Hupotezi chochote Burn ukimpuuza mtu...tried dat, it ddnt work wit dis foolz
Hivi jamani huyu mkwere hafikirii chakuongea , kasema wagombea wengine wana wake wa kuazima, kasahau kuwa MKAPA nae alikua na mke wa kuazima, huyu kweli mkwere, kaanza mipasho na ujinga flani hivi
Aliazima mke kwa mramba, Kikwete kwa ujeuri akamtia korokoroni mme mwenza akimchokonoa mzee mkapa. Mkapa kawapasha mashehe, na ccm walioendesha kampeni kwa kutumia udini
Watu ndio wanazidi kuongezeka, namuona sheikh yahya anaingia,
Wana JF, kuna yoyote mwenye taarifa kuhusu mkutano wa CCM viwanja vya Jangwani?
Tunaomba taarifa
Watu wa kijani na njano waliosombwa kutoka Chanika, Mbande, Chamazi na kwingine pembezoni mwa Jiji ndiyo wamejaa pale!!!!
Kundi la wanung'unikaji
mkiacha kulia lia na kufanya kazi mtafika tu, hata ngili maji ilianza kama kende.Subiria nguvu si kesho mpaka 2015 inaongezeka mkuu. pole pole.....