Tindikali JF-Expert Member Joined Mar 26, 2010 Posts 2,086 Reaction score 2,823 Oct 31, 2010 #221 Lakini ni kweli, Dr. Slaa hakuchagua muda mzuri kuanika tafrani lake na mke wa zamani na mke mpya na mme wa mke mpya. Ndo maana kina Kikwete wamepata mipasho. Yote yakishatulia Dr. Slaa hili atalijutia.
Lakini ni kweli, Dr. Slaa hakuchagua muda mzuri kuanika tafrani lake na mke wa zamani na mke mpya na mme wa mke mpya. Ndo maana kina Kikwete wamepata mipasho. Yote yakishatulia Dr. Slaa hili atalijutia.