Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Niko hapa ukumbi wa Karimjee, nikiwaletea live, kikao kazi cha Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, NEEC, na wahariri wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF. kuhusiana na mambo ya uwezeshaji wananchi kiuchumi.
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) ni Taasisi ya Serikali iliyoanzishwa na Sheria ya 16 ya 2004 kama njia ya kuharakisha mchakato wa kuwawezesha Watanzania kiuchumi. Baraza ina majukumu ya kuwezesha kubuni, kupanga, kusimamia, kufuatilia na kutathmini na pia kuratibu shughuli zote za uwezeshaji wa kiuchumi nchini. Pia inajukumu la kuhamasisha rasilimali na kusimamia fedha maalum kwa ajili ya shughuli za uwezeshaji wa kiuchumi. Uwezeshaji wa Kiuchumi ni moja ya njia ya kufikia MKUKUTA, MDG na hatimaye ndoto ya kitaifa ya mwaka 2025.
Tangu uhuru, Tanzania imejaribu kutengeneza na kupitisha sera kadhaa na mikakati ambayo inalenga kuendeleza Taifa na kuwawezesha watu wake kushiriki katika usimamizi wa uchumi wao. Sera na mikakati hiyo ni pamoja na Azimio la Arusha, Ungatuaji wa majukumu ya serikali kwa kupeleka madaraka mikoani,Biashara Huria, na Ubinafsishaji wa Makampuni ya Serikali. Ingawa sera hizi hazikufikia kikamilifu malengo yaliyokusudiwa, hata hivyo ilikuwa ni chachu ya kuleta maendeleo, amani, utulivu na umoja ambao ni mali kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi.
Watumiaji wakuu wa huduma zetu ni makundi ya watu binafsi, vyama na vyama vya ushirika wanaohusika katika shughuli mbalimbali za kiuchumi; utafiti na taasisi za kitaaluma; na idara za serikali. NEEC inahamasisha rasilimali kutoka ndani na nje ya nchi na tunakaribisha washirika wenye nia ya kujiunga na jitihada zetu katika kufikia maono yenye heshima ya kuwawezesha Watanzania.
Baraza kisheria liko chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu, ambapo sheria namba 16 ilipitishwa na Bunge mwaka 2004
Ni chombo cha juu cha kutoa uongozi kwa
ajili ya Uwezeshaji wa kiuchumi
Baraza lina dhamana ya kupanga, kuratibu, kuwezesha, kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ambapo utekelezaji wake unafanywa na sekta zote.
KAZI ZA BARAZA
Kuratibu shughuli za uwezeshaji nchini
Kuonesha na kutoa fursa za ushiriki wa watanzania kiuchumi kwa kushirikiana na wadau mbalimbali na Kuwaunganisha watanzania na fursa hizo
Kuandaa Mikakati, Miongozo na program za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi.
Kuwezesha vikundi, biashara za ndani na ubia katika shughuli za kiuchumi kwa kushirikiana na wadau
Kuishauri serikali, sekta za umma, sekta binafsi kuhusu kuendeleza uwezeshaji kiuchumi Tanzania.
Mitaji Miundombinu ya kiuchumi
Ubinafsishaji
Kukuza ujuzi, uzoefu, elimu, mila na desturi zenye mtazamo wa kimaendeleo
Masoko
Matumizi ya ardhi kwa uchumi
Ushirika
Uwekezaji
MFUMO WA URATIBU
Sekta za kiuchumi zote zina waratibu wa Uwezeshaji
Wizara
Mikoa
Halmashauri
Taasisi
Jumla Baraza lina Waratibu 276
Kamati ya ushauri ya uwezeshaji wananchi kiuchumi (KM OWM)
Mifuko ya Uwezeshaji
Vikundi vya kiuchumi
Ushiriki wa Watanzania Local Content
Ujasiriamali Utafiti
Uratibu - sekta ya umma
Local Content
Local Content ni thamani ya ziada inayochangiwa kwenye uchumi wa taifa kupitia ushiriki wa wananchi kutokana na uwekezaji kwenye nchi husika.
Inaweza kuwa kuongeza thamani (value addition) au kuongeza umiliki wa wananchi (ownership)
BIDHAA NA HUDUMA ZA NDANI – Bidhaa na huduma zilizozalishwa hapa Tanzania
Maeneo muhimu kwa Tanzania Ajira Ushiriki wa kampuni na bidhaa za ndani Mafunzo, teknolojia na tafiti Uwekezaji wa kiuchumi kwenye jamii
Utekelezaji
NEEC haitekelezi Local Content moja kwa moja.
Huduma kwa kushirikiana na Taasisi zinazo simamia miradi hufanya kazi na m.f. TANESCO, TRL, Tume ya Madini, TANROAD, TAA, EWURA, PURA n.k.
Kila Taasisi ina Mratibu wa
Local Content;
Taasisi zinahakikisha mkandarasi anawasilisha mpango wa Local Content
Kutayarisha taarifa ya kitaifa ya
Local Content.
Ajira 262,96na Makampuni 3,360
UJASIRIAMALI
Kuweka mwelekeo wa ujasiriamali nchini ili watanzania wengi zaidi wafaidike na ujasiriamali
Kupima na kufuatilia mwelekeo
wa ujasirimali nchini
Kusimamia Kamati ya kitaifa ya kusimamia na kuongoza ujasiriamali nchini
Kuratibu watoa huduma za uendelezaji biashara (BDSPs) Kuandaa Mwongozo
BIASHARA
Kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB)
Kuandaa Mwongozo
Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za Uendelezaji biashara
Vinatoa huduma za:
Mafunzo
Urasimishaji wa biashara
Mikopo
Kuongeza thamani ya mazao
Uanzishaji wa vikundi
Sasa hivi kuna jumla ya vituo 25
⦁ Jumla ya kampuni 1,906
⦁ Ushauri kwa wananchi 8,826
⦁ mafunzo yametolewa kwa wananchi 11,893
VIKUNDI VYA KIFEDHA
Serikali imetengeneza Sera na Sheria ya huduma ndogo za fedha 2017
Kifungu 33 cha sheria;
NEEC kwa kushirikiana na BOT wanatoa elimu ya fedha,
kuchunga maslahi ya walaji,
kuunganisha vikundi na programu mbalimbali za Serikali.
NEEC ilianza kulea VICOBA mwaka 2011
Mpaka May 2024 vimesajiliwa vikundi (CMG) 49,376.
Kuelimisha Umma kuhusu Mifuko/Programu za Uwezeshaji na jinsi ya kunufaika;
Kuratibu vikao vya Taasisi za Mifuko na Programu Kupokea taarifa za Mifuko na kuandaa taarifa ya nchi; Kuwaunganisha wananchi na Mifuko ya Uwezeshaji; na
Kufanya ufuatiliaji na tathmini ya huduma na matokeo ya Uwezeshaji.
Mikopo ya kuanzia shilingi Milioni 8 hadi Milioni 50 kwa viwanda vidogo na shs Milioni 51 hadi Milioni 500 kwa viwanda vya kati.
Mikopo ya uwekezaji (Investments loan) na uendeshaji wa miradi (Working Capital loan)
Mpaka sasa Jumla ya viwanda 86 kwenye Mikoa 13 na Mikopo ya Shs 6.7 bilioni imetolewa.
Mpango Unaoendeshwa SIDO, BENKI YA AZANIA, NEEC, VETA na NSSF
Ulianza 2020
Walengwa ni Wanawake, Vijana, Wazee na watu wenye ulemavu.
Program hii itatekelezwa kwa miaka 5 kuanzia Mwaka huu.
Vipaumbela viwe vile vitakavyoleta matokeo makubwa kwa watu wengi;
Wananchi ambao tayari wana shughuli waboreshe shughuli zao za kiuchumi;
Kuziba Mapengo kati ya program zote za Uwezeshaji ambazo zimeanzishwa na Serikali;
– (m.f. Mikopo 10%, Mifuko yote ya uwezeshaji, 30% Manunuzi ya Umma, BBT, Nishati safi, Ruzuku ya mbolea, vituo vya uwezeshaji wananchi kiuchumi, n.k.)
Watu 92,533 Wameshajisajili (21/10/2024) Wanawake zaidi ya 65%
Vipaumbele: Kuongeza thamani ya mazao, Fursa katika viwanda, Maghala, Masoko ya Nje ya Nchi, Maeneo ya kufanyia biashara (Masoko, Super markets), n.k.
Wananchi wengi wanahitaji ujuzi wa teknolojia
Mpango maalum unatengenezwa kwa ajili ya kujenga uwezo wa makundi haya.
NEEC inaratibu shughuli za uwezeshaji katika Majukwaa kulingana na Sera ya Taifa ya Uwezeshaji
Jumla ya Majukwaa 35,304 yameanzishwa (Jan. 2024)
Majukwaa yameanzisha; Makampuni (Shinyanga na Pwani); SACCOSS (Dodoma na Mwanza); Kisekta (DSM na Songwe); Usindikaji, n.k.
Paskali.
Niko hapa ukumbi wa Karimjee, nikiwaletea live, kikao kazi cha Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, NEEC, na wahariri wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF. kuhusiana na mambo ya uwezeshaji wananchi kiuchumi.
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) ni Taasisi ya Serikali iliyoanzishwa na Sheria ya 16 ya 2004 kama njia ya kuharakisha mchakato wa kuwawezesha Watanzania kiuchumi. Baraza ina majukumu ya kuwezesha kubuni, kupanga, kusimamia, kufuatilia na kutathmini na pia kuratibu shughuli zote za uwezeshaji wa kiuchumi nchini. Pia inajukumu la kuhamasisha rasilimali na kusimamia fedha maalum kwa ajili ya shughuli za uwezeshaji wa kiuchumi. Uwezeshaji wa Kiuchumi ni moja ya njia ya kufikia MKUKUTA, MDG na hatimaye ndoto ya kitaifa ya mwaka 2025.
Tangu uhuru, Tanzania imejaribu kutengeneza na kupitisha sera kadhaa na mikakati ambayo inalenga kuendeleza Taifa na kuwawezesha watu wake kushiriki katika usimamizi wa uchumi wao. Sera na mikakati hiyo ni pamoja na Azimio la Arusha, Ungatuaji wa majukumu ya serikali kwa kupeleka madaraka mikoani,Biashara Huria, na Ubinafsishaji wa Makampuni ya Serikali. Ingawa sera hizi hazikufikia kikamilifu malengo yaliyokusudiwa, hata hivyo ilikuwa ni chachu ya kuleta maendeleo, amani, utulivu na umoja ambao ni mali kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi.
Watumiaji wakuu wa huduma zetu ni makundi ya watu binafsi, vyama na vyama vya ushirika wanaohusika katika shughuli mbalimbali za kiuchumi; utafiti na taasisi za kitaaluma; na idara za serikali. NEEC inahamasisha rasilimali kutoka ndani na nje ya nchi na tunakaribisha washirika wenye nia ya kujiunga na jitihada zetu katika kufikia maono yenye heshima ya kuwawezesha Watanzania.
Dira na Dhima
Dira
Kuhakikisha kwamba sehemu kubwa ya Uchumi wa Nchi inamilikiwa na Watanzania wenyewe.Dhima
Kuongoza, kuwezesha na kuratibu shughuli za uwezeshaji kiuchumi Tanzania.Malengo
- Kuongeza uzingatiaji katika kutekeleza masuala mtambuka katika shughuli za uwezeshaji wa kiuchumi.
- Kuwezesha maendeleo ya fursa za uwezeshaji wa kiuchumi na kuziunganisha na walengwa.
- Kuratibu mikakati ya kisekta katika ushirikishwaji wa Wananchi katika miradi ya kimkakati na uwekezaji na uwezeshaji wa kiuchumi na kufungua fursa za kiuchumi.
- Kuongeza uelewa wa umma juu ya jukumu la NEEC katika kuratibu mipango ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi nchini Tanzania.
- Kuimarisha uwezo wa NEEC katika kuratibu michakato ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi.
Maadili ya Msingi ya Baraza
- Uwajibikaji
- Ubunifu
- Uadilifu
- Inayozingatia mahitaji ya watu
- Kufanya kazi kwa umoja
- Ushirikiano
- Uwazi
- Iliyojielekeza katika matokeo
Majukumu
- Kuwapatia Watanzania fursa za kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi;
- Kuandaa Mpango Mkakati wa sekta na kisekta na kuhamasisha matumizi ya rasilimali kwa shughuli za Uwezeshaji wa Wananchi;
- Kuhamasisha na kuhimiza uwekaji wa akiba, uwekezaji, na ushirikishwaji makini wa Wananchi kwenye shughuli za Kiuchumi;
- Kuandaa Mkakati wa kitaifa Uraghibishi wa sekta mbalimbali wa shughuli za uwezeshaji wananchi kiuchumi;
- Kuendeleza na kuwezesha shughuli za kibiashara zilizoanzishwa na kuendeshwa na watanzania;
- Kuainisha fursa za mafunzo ya kiuchumi na uwekezaji na kuratbu programu za mafunzo hayo;
- Kusimamia, kuongoza na kutafuta vyanzo vya fedha kwa ajili ya Mfuko wa Uwezeshaji;
- Kuhamasisha utafiti wa shughuli za kiuchumi na kuhimiza ushirikiano na Taasisi za utafiti;
- Kufanya mapitio ya sheria mbalimbali kwa lengo la kutoa mapendekezo ambayo yatalenga kuboresha mazingira ya uwezeshaji wananchi kiuchumi;
- Kuandaa mfumo wa kufuatilia maendeleo ya shughuli za kiuchumi na kutathimini matokeo; na mfumo wa menejimenti ya habari za uwezeshaji;
- Kushauri kwenye shughuli zote za uanzishaji wa vikundi, ushirika, ushirikiano na ushirikiano wa biashara wa muda mfupi;
- Kuanzisha mfumo wa utoaji taarifa za uwezeshaji wa wananchi kiuchumi kutoka sekta zote.
BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI (NEEC)
Beng’I Issa Katibu Mtendaji
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC)
Mkutano wa Wahariri,22 Oktoba 2024
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC)
Mkutano wa Wahariri,22 Oktoba 2024
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi
National Economic Empowerment Council (NEEC)
Baraza lilianzishwa mnamo 2004National Economic Empowerment Council (NEEC)
Baraza kisheria liko chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu, ambapo sheria namba 16 ilipitishwa na Bunge mwaka 2004
Ni chombo cha juu cha kutoa uongozi kwa
ajili ya Uwezeshaji wa kiuchumi
Baraza lina dhamana ya kupanga, kuratibu, kuwezesha, kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ambapo utekelezaji wake unafanywa na sekta zote.
KAZI ZA BARAZA
Kuratibu shughuli za uwezeshaji nchini
Kuonesha na kutoa fursa za ushiriki wa watanzania kiuchumi kwa kushirikiana na wadau mbalimbali na Kuwaunganisha watanzania na fursa hizo
Kuandaa Mikakati, Miongozo na program za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi.
Kuwezesha vikundi, biashara za ndani na ubia katika shughuli za kiuchumi kwa kushirikiana na wadau
Kuishauri serikali, sekta za umma, sekta binafsi kuhusu kuendeleza uwezeshaji kiuchumi Tanzania.
Sera ya Uwezeshaji, 2004
Kifungu na 2.1 cha Sera kinaelezea hali halisi ya Ushiriki wa Wananchi katika shughuli za uchumi wa sasa ni duni
Mfumo wa kodi, sheria, kanuni, leseni na huduma za serikaliMitaji Miundombinu ya kiuchumi
Ubinafsishaji
Kukuza ujuzi, uzoefu, elimu, mila na desturi zenye mtazamo wa kimaendeleo
Masoko
Matumizi ya ardhi kwa uchumi
Ushirika
Uwekezaji
MFUMO WA URATIBU
Sekta za kiuchumi zote zina waratibu wa Uwezeshaji
Wizara
Mikoa
Halmashauri
Taasisi
Jumla Baraza lina Waratibu 276
MUUNDO WA URATIBU WA SERA
Mkutano wa mwaka wa Uwezeshaji wananchi kiuchumi (WM)Kamati ya ushauri ya uwezeshaji wananchi kiuchumi (KM OWM)
Mifuko ya Uwezeshaji
Vikundi vya kiuchumi
Ushiriki wa Watanzania Local Content
Ujasiriamali Utafiti
Uratibu - sekta ya umma
Local Content
Local Content ni thamani ya ziada inayochangiwa kwenye uchumi wa taifa kupitia ushiriki wa wananchi kutokana na uwekezaji kwenye nchi husika.
Inaweza kuwa kuongeza thamani (value addition) au kuongeza umiliki wa wananchi (ownership)
Uwekezaji wowote wa Serikali. Kwa fedha za nje au fedha za ndani.
BIASHARA ZA NDANI – iliyosajiliwa hapa Tanzania, yenye kumilikiwa na watanzania kwa 51% na kuongozwa na watanzania kwa 51%.BIDHAA NA HUDUMA ZA NDANI – Bidhaa na huduma zilizozalishwa hapa Tanzania
Maeneo muhimu kwa Tanzania Ajira Ushiriki wa kampuni na bidhaa za ndani Mafunzo, teknolojia na tafiti Uwekezaji wa kiuchumi kwenye jamii
Thamani ya ziada inayoletwa nchini
NEEC 2024 9Utekelezaji
NEEC haitekelezi Local Content moja kwa moja.
Huduma kwa kushirikiana na Taasisi zinazo simamia miradi hufanya kazi na m.f. TANESCO, TRL, Tume ya Madini, TANROAD, TAA, EWURA, PURA n.k.
Kila Taasisi ina Mratibu wa
Local Content;
Taasisi zinahakikisha mkandarasi anawasilisha mpango wa Local Content
Kutayarisha taarifa ya kitaifa ya
Local Content.
Ajira 262,96na Makampuni 3,360
UJASIRIAMALI
Kuweka mwelekeo wa ujasiriamali nchini ili watanzania wengi zaidi wafaidike na ujasiriamali
Kupima na kufuatilia mwelekeo
wa ujasirimali nchini
Kusimamia Kamati ya kitaifa ya kusimamia na kuongoza ujasiriamali nchini
Kuratibu watoa huduma za uendelezaji biashara (BDSPs) Kuandaa Mwongozo
……UJASIRIAMALI
VITUO VYA UENDELEZAJIBIASHARA
Kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB)
Kuandaa Mwongozo
Kutoa mafunzo kwa watoa huduma za Uendelezaji biashara
Vituo vya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi
Vilianzishwa mwaka 2018Vinatoa huduma za:
Mafunzo
Urasimishaji wa biashara
Mikopo
Kuongeza thamani ya mazao
Uanzishaji wa vikundi
Sasa hivi kuna jumla ya vituo 25
⦁ Wananchi 11,852
⦁ Mikopo bn 19.9 imetolewa
|
⦁ Ushauri kwa wananchi 8,826
⦁ mafunzo yametolewa kwa wananchi 11,893
VIKUNDI VYA KIFEDHA
Serikali imetengeneza Sera na Sheria ya huduma ndogo za fedha 2017
Kifungu 33 cha sheria;
NEEC kwa kushirikiana na BOT wanatoa elimu ya fedha,
kuchunga maslahi ya walaji,
kuunganisha vikundi na programu mbalimbali za Serikali.
NEEC ilianza kulea VICOBA mwaka 2011
Mpaka May 2024 vimesajiliwa vikundi (CMG) 49,376.
URATIBU WA MIFUKO YA UWEZESHAJI
Kutunza Daftari la Orodha ya Mifuko na programu;Kuelimisha Umma kuhusu Mifuko/Programu za Uwezeshaji na jinsi ya kunufaika;
Kuratibu vikao vya Taasisi za Mifuko na Programu Kupokea taarifa za Mifuko na kuandaa taarifa ya nchi; Kuwaunganisha wananchi na Mifuko ya Uwezeshaji; na
Kufanya ufuatiliaji na tathmini ya huduma na matokeo ya Uwezeshaji.
….MIFUKO YA UWEZESHAJI
| Na. | Kundi la Mifuko | Idadi ya Mifuko | Uwiano wa Kundi la Mifuko (%) |
| 1 | Mifuko inayotoa mikopo | 17 | 23 |
| 2 | Mifuko inayotoa Dhamana | 11 | 15 |
| 3 | Mifuko inayotoa Ruzuku | 35 | 48 |
| 4 | Programu za uwezeshaji | 10 | 14 |
JUMLA | 73 | 100 |
24 October 2024 16
MPANGO WA VIWANDA WA SANVN
Viwanda vidogo na vya katiMikopo ya kuanzia shilingi Milioni 8 hadi Milioni 50 kwa viwanda vidogo na shs Milioni 51 hadi Milioni 500 kwa viwanda vya kati.
Mikopo ya uwekezaji (Investments loan) na uendeshaji wa miradi (Working Capital loan)
Mpaka sasa Jumla ya viwanda 86 kwenye Mikoa 13 na Mikopo ya Shs 6.7 bilioni imetolewa.
Mpango Unaoendeshwa SIDO, BENKI YA AZANIA, NEEC, VETA na NSSF
Ulianza 2020
IMARISHA UCHUMI NA MAMA SAMIA (IMASA)
Ni Programu ya Uwezeshaji kwa Mikoa yote 26 ya Tanzania Bara na 5 Zanziba kwa kushirikiana na ZEEAWalengwa ni Wanawake, Vijana, Wazee na watu wenye ulemavu.
Program hii itatekelezwa kwa miaka 5 kuanzia Mwaka huu.
LENGO LA PROGRAM
Kuibua Vipaumbele vya kiuchumi kwa kila Mkoa;Vipaumbela viwe vile vitakavyoleta matokeo makubwa kwa watu wengi;
Wananchi ambao tayari wana shughuli waboreshe shughuli zao za kiuchumi;
Kuziba Mapengo kati ya program zote za Uwezeshaji ambazo zimeanzishwa na Serikali;
Awamu za utekelezaji
| AWAMU YA KWANZA | Uandaaji wa kanzi data ya walengwa/wanufaika wa programu (Utambuzi wa shughuli za kiuchumi za wadau na mahitaji maalum ya uwezeshaji) |
| AWAMU YA PILI | Uandaaji wa Program maalum za Uwezeshaji Kiuchumi kwa Wanawake, Vijana na watu wenye mahitaji maalum kulingana na mahitaji yaliyoonekana katika uchakataji wa takwimu na kuanza utekelezaji wake. |
Muundo wa Utekelezaji wa
Programu
Programu
OFISI ZA WAKUU WA MIKOA
OR-TAMISEMI
Kuhusisha Programu ya IMASA na programu zote za uwezesahji zinazoendelea hivi sasa
|
|
|
Kuhakikisha programu hii inajielekeza kwenye maeneo yatakayofikia watu wengi zaidi.
WADAU
…….IMARISHA UCHUMI NA MAMA SAMIA
Mikoa 24 ImefikiwaWatu 92,533 Wameshajisajili (21/10/2024) Wanawake zaidi ya 65%
Vipaumbele: Kuongeza thamani ya mazao, Fursa katika viwanda, Maghala, Masoko ya Nje ya Nchi, Maeneo ya kufanyia biashara (Masoko, Super markets), n.k.
|
Manunuzi ya Umma Kwa Makundi Maalum
Serikali inatekeleza Sera ya manunuzi ya umma kwa makundi maalum.Mpango maalum unatengenezwa kwa ajili ya kujenga uwezo wa makundi haya.
MAJUKWAA YA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI
NEEC inashirikiana na Wizara ya Jinsia kutekeleza dhana ya majukwaa.NEEC inaratibu shughuli za uwezeshaji katika Majukwaa kulingana na Sera ya Taifa ya Uwezeshaji
Jumla ya Majukwaa 35,304 yameanzishwa (Jan. 2024)
Majukwaa yameanzisha; Makampuni (Shinyanga na Pwani); SACCOSS (Dodoma na Mwanza); Kisekta (DSM na Songwe); Usindikaji, n.k.
Paskali.