Mungu anawaona mkuu.Daaahhhj, wana JF tunajua kukaushia nyuzi za watu..
Masaa 5 yamepita hamna aliyekomenti hata mmoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu anawaona mkuu.
Hawajui kuwa maendeleo hayana chama
AsanteNgoja tu-support uzi.
Bado tulikuwa na huzuni za Afcon.
Anyway; Karibu tena jukwaani
Aliowataja ndio tulikuwa tunasubiri wakomenti, nashangaa kwa nini hajawaPM tu, Mods ban huyu naona ana hangover badoDaaahhhj, wana JF tunajua kukaushia nyuzi za watu..
Masaa 5 yamepita hamna aliyekomenti hata mmoja
Unaweza kutupa dokezo sababu za wewe kupata kifungo ( ban ),Asante
Hao aliowataja wana roho mbaya kama kunguni...Daaahhhj, wana JF tunajua kukaushia nyuzi za watu..
Masaa 5 yamepita hamna aliyekomenti hata mmoja
Atakuwa alitongoza demu wa Mod. Hakujua mods wana access na PM zetu.Unaweza kutupa dokezo sababu za wewe kupata kifungo ( ban ),
Acha tuUnaweza kutupa dokezo sababu za wewe kupata kifungo ( ban ),
Jina lako gumuWelcome back mkuu.Mie unanijua?
Ngj nitulie nijibu comment zoteeeeDaaahhhj, wana JF tunajua kukaushia nyuzi za watu..
Masaa 5 yamepita hamna aliyekomenti hata mmoja
SawaNgj nitulie nijibu comment zoteeee