Nakumbuka atleast Erickson/Capello walifanya kazi nzuri kidogo itabd wafanye maamuz magumu waajiri kocha kutoka nje nasikia Pellegrini anaeza pewa timuTatizo Lao Hawatafuti Kocha Wa Mafanikio Bali FA kwa Unazi Wao Wa Kuuvaa Ubritisb Huishia Kuchukua Makocha Ambao ni Failure Katika Vilabu Vyao Wakawapa Majukumu Ya Timu ya Taifa...
Tatizo lao kubwa sidhani kama ni mwalimu wana matatizo mengi wale kwanza ujuaji mwingi akitokea mchezaji ana kipaji cha kawaida tu mwingereza basi watampamba weeeh mpaka basi pili tizama mfano wa rahim au Carroll bei walio nunuliwa na viwango vyao uwanjani ni mbingu na ardhi aah the three lions ila sifichi mahaba yangu kwao mimi ndio timu yangu kweli kipendacho roho. ..Nakumbuka atleast Erickson/Capello walifanya kazi nzuri kidogo itabd wafanye maamuz magumu waajiri kocha kutoka nje nasikia Pellegrini anaeza pewa timu