Kutoka kucheza Ligi ya NBA mpaka kuja kucheza ligi ya mkoa wa Dar (RBA) Kuna La Kujifunza Kwenye Maisha Ya Hashim Thabit

Umemkamataa uyo mtot wa kike
 
Acha wivu Dada
 
Ameamua kufanya program ya kuukuza mchezo huo kwa vijana wa Bongo ili wapate shavu majuu.

Mnasagia sana kunguni loh
 
Dah,sema bahati mbaya tu sijui dogo why kapotea mapema sana
Alivyokamata channel ya NBA top players akawa hafikii viwango sababu ya mazoezi hafifu. Alikuwa hajifui vya kutosha so progress ikawa ina drop ikabidi wamteme tu. Sema hela alizipata kwa kipindi chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…