Kutoka kwa JR Farhan, Mchambuzi wa Soka la Kibongo wa Clouds Media

Wachambuzi hua wanaenda na upepo hayo anayo yasema ikitokea Yanga akashinda huko Sudan utasikia wanavyo badili gia
Wataanza na kuiponda preseason yao. Watakuja na quality ya wachezaji,ubora wa Nabi, uwekezaji wa timu na watamalizia na usajiri.
 
Hauwezi kupambana kimataifa Kama haufanyi mazoezi ya kimataifa.changamoto mpya ni muhimu.wewe unacheza na mbuni unakwenda kupambana na kocha aliyebeba kombe la shirikisho afrika utamuweza?
[emoji23][emoji23][emoji23] ukolo ni laana
 
Anakula matapishi yake.

Huyo anajiona anaujua sana mpira kisa kupata shavu hapo clouds
 
Anakula matapishi yake.

Huyo anajiona anaujua sana mpira kisa kupata shavu hapo clouds
Hamna akili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa yeye ametoa maoni yake na ni kweli uhalisia upo hivyo...

Kwani yanga alichofanikiwa nini????

Si alifurushwa mapema tu katika ligi ya mabingwa,na simba akaendelea.....




Tatizo lenu mnafikiri kucheza kombe la luza ni sifa,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mlifeli katika ligi kusudiwa mmeangukia ligi ya vilaza......hata simba naye angefeli sasa hivi ungemkuta yupo huko luzaz fenge[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mzee Rage ni genius
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…