tena bazazi Vin Diesel limeshika namba moja kwa kunoga. uko poa lakini?
Ishia hapo hapo.
Jamani kwani nimefanyaje tena?
Si nataka tufanye yale maombi au?
Kwani umeyaona ninayo wapi?
Mhh najua bana we hapa siwezi kuweka yale maneno ya mwaliko bana hapa nasema taratibu si unajua akina Tized na Mndengereko wanachungulia
hehehehe!!!! mie nitakuwa nashinda kwa dressing table tu eeh!!
Haifiki?
wifi majukumu tu ndugu yangu. kakako leo yupo nyumba kubwa.
Umewafanya nini hadi wakuchungulie?
Nipo kaenda Bwana mdogo kerry!Upo lakini??nitakutilia timu hivi karibuni mkuu kaa mkao wakutoboa mifuko!!lol!Mkuu kumbe umesharudi kutoka kule kwenye mapatano ya Urusi na Ukraine?
Ujue wewe umekuwa unanitesa sana
Hebu kuwa na hurum bada ...lol!
HAhahahah hawana tatizo ila ni marafiki zangu sana
I know you know from inside of your heart that I love you and I will always do. Salaam zao wote.