Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi imeshatekwa na kikundi kidogo cha watu ambao nao, kwa bahati mbaya sana, ni mawakala wa mabwana wakubwa huko nje. Yanahotajika mapambano mengine ya kuikomboa nchi kutoka katika makucha ya ukoloni mamboleoNi lini mtanzania atapata haki ndani ya nchi yake?
Kikwete alipoingia alikuwa tumaini la walio wengi.
Imani imeshuka kwako. Uzalendo umekushinda. Shabaha ya uhuru umeipoteza!
Dhumuni la kuwakataa mabepari, wanyonyaji, mabeberu na majina mengi enzi hizo tuliwaita. Nyie mmewapa majina mazuri eti wawekezaji.
Wakowapi wakina ananilea nkya, watu wa haki za binadamu mliopiga kelele wakati police wapo choma nyumba na na kuamrishwa kubaka wanawake, mimba nyingi zilitoka na wanaume kuuwawa kisirisiri, kisa muarabu beberu muwekezaji,
Raisi kikwete hata kama mkataba alisaini raisi Mwinyi omba msaada tunao wanasheria wengi wanaouwezo wa kuokoa ndugu zetu.
Hii nchi ni ya watanzania sio ya CCM, watu wenye matumbo makubwa na kushibisha kakundi ka watu.
Jamani nchii hii tunakwenda wapi?? Kwani wale viongozi wa rwanda waliotunguliwa wakafa wote mnawashinda nini? Au kwasababu mnamiliki Jeshi? Hivi jeshi la tanzania na jeshi la Libya jeshi lipi linanguvu? Hivi kikwete na Gadafi ni nani ananguvu jeshini?? Hivi kikwete na Gadafi nani rahisi kung'onlewa? Kama gadafi katoka basi Tanzania tuko mbioni.
Mungu ibariki Africa Mungu ibariki Tanzania. Naomba kuwakilisha
Lakini cha ajabu aliyewapa hao Waarabu eneo hilo la ardhi ni Sheikh Ali Hassan Mwinyi, ambaye ni Muislamu. Na wanaofanya udhalimu huo ni hao Waarabu rafiki zake Mwinyi.Ukitaka kufahamu maana ya ubepari na western civilization (christian or rather supported by christians) ndio hiyo
Kunyan'anya mali za watu..