Kutoka Mahakama Kuu: Kesi ya James Mbatia kupinga mchakato wa Job Ndugai kujiuzulu Uspika

Hapo ni kukumbushana kufuata katiba. Mkishazoea kutokufuata katiba katika mambo yenu, mtajikuta mnajenga mazoea ambayo siku fulani isiyojulikana,itawagharimu pakubwa.
Kama nyie mnavyofuata katiba kwa kumuweka nwenyekiti wa milele a.k.a Gaidi
 
Mbatia ni malaya wa siasa na jinsia pia. Wakati wa Mwendazake aliahidiwa majimbo 20 Bungeni, hivyo akaweka mortgage nyumba yake ili apate Mkopo wa benki kwa ajili ya kampeni.

Mwendazake hakumuachia Jimbo hata moja, kwa hiyo hana ruzuku, hana chanzo cha fedha na hana haiba ya siasa zinazoendana na Rais SSH. Benki wanataka marejesho, Mbatia hana hela, atapata wapi?

Kwa hiyo ameamua kuwa msumbufu fulani ili watu wa system wamuone ni mwiba na ikibidi watafute namna ya kumalizana naye.

Mark hii post, Mbatia atasumbua sana kwa sababu ya nyumba yake ya Mbezi Beach
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…