Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Asante kwa kumbukumbu murua, nazidi kupata imani safari hii barca anakufa! Hawatoki pale OT then tukienda kwao tunapaki basi kwa ajili ya sare!Hii ilikuwa ni ile Barcelona yenyewe, yaani Messi, Iniesta, Xavi dhidi ya Celtic ya akina Victor Wanyama mwaka 2012 kwenye Uefa. Barcelona alikufa 2-1 licha ya muda mwingi wa mchezo kumiliki mpira kwa kiwango cha juu. Hii ndio ile mechi Xavi alipiga pasi nyingi kuliko timu nzima ya Celtic lakini waliishia kufungwa.
Kumbe kuna muda ball possession sio kila kitu katika soka! Hebu tazama takwimu za hii mechi, kisha njoo uwashauri mashabiki wa Man Utd kuelekea mchezo wao dhidi ya Barca.
View attachment 1066149
Hahaha mkuu huipendi Man Utd eeh?
Hii ni moja ya mechi za kukumbukwa katika UCL. Wictor Wanyama aliongoza mauaji hayo akifunga goli la mapema tu!goal attempted 25/5! passes completed 900/?+ halafu wakafungwa!
Jipe moyo mkuu, kwanini ukate tamaa!Asante kwa kumbukumbu murua, nazidi kupata imani safari hii barca anakufa! Hawatoki pale OT then tukienda kwao tunapaki basi kwa ajili ya sare!
Sent using Jamii Forums mobile app
Barca aliwai kufa kwa CherseaAsante kwa kumbukumbu murua, nazidi kupata imani safari hii barca anakufa! Hawatoki pale OT then tukienda kwao tunapaki basi kwa ajili ya sare!
Sent using Jamii Forums mobile app
Chersea ndio nini mkuu?Barca aliwai kufa kwa Chersea
Sa mkuu si usahishe tu afu uelewe, mambo mengi mda mchache ni Chelsea.Chersea ndio nini mkuu?
Barca aliwai kufa kwa Chersea
Hizo takwimu ni kweli kabisa nakumbuka niliangalia hiyo mechiHii sio photo shop?
Nnachoamini ni kuwa Barcelona haitakosa goli 3.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waache wajifanye posesheni haimatiHamjazuiwa kujifariji ndugu zangu, so endeleeni tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Baada ya kocha wa Man u kuulizwa vipi umeonaje game au umejifunza nini baada ya game ya Barcelona na Atletico de Madrid kumalizika? Majibu yake "Kwakweli Messi atabaki kuwa juu tena juuu kileleni [emoji3][emoji3][emoji3] pia bila kusahau juu tena juuu mawinguni" [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waache wajifanye posesheni haimati
Sent using Jamii Forums mobile app