Kutoka Maktaba ya Mchungaji

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
4,526
Reaction score
1,540
Invisible,

Naomba sana ulinde tunayoandika humu. Hiyo miaka ya baadaye, iwe 20 au 50 kutoka leo, tuliyoyasema yawe ya msingi, mzaha au kebehi, yabakie kama zilipendwa na tujikumbushe tuliyoyasema zamani.

Ninayoyaleta hapa ni kutoka Maktaba uchwara yangu ambayo nilaanzisha muda mfupi na mengi ya kiuanaharakati niliyoandika yalikuja kupotea kutokana na NYENZI.COM kufa..

Nayaambatanisha hapa kama kumbukumbu za ushiriki katika harakati na hata kuangalia kilichosewa zama zile kina tofauti gani na yanayofanyika sasa.

Someni kwa Furaha!
 
September 2000
 
Inaendelea..

 
October 2, 2000

 
Reaction ya insha ya Nicholls Boas :Mkapa's failed Presidency in Tanzania.


 
Reaction ya Boas inaendelea...


 
Tamati kuhusu Boas..


 
Mzee, ulikuwa umezihifadhi wapi? Je naweza kupata nakala za posts zangu pia?
 
Mzee, ulikuwa umezihifadhi wapi? Je naweza kupata nakala za posts zangu pia?

Ulikuwepo Nyenzi? ulikuwa ukitumia jina gani? nina posti kadhaa ambazo niliwahi kuzihifadhi kwenye disk baada ya Nyenzi kuanza kusuasua lakini it was a bit late, nikaweza okoa chache sana. Ninaz kwenye disk kama word documents, nitaziambatanisha hapa wavuni soon.
 
Mapinduzi ya Viwanda kuimarisha uchumi


 
Lugha yetu Kiswahili


 
Mkuu Reverend, maneno mazito sana kwenye posti zako hizo,
Mimi ninadhani badala ya kuzihifadhi kielectroniki tu, ni vyema ukatengeneza kitabu pia, kwa kufanya hivyo utakuwa umepeleka mapambano katika ngazi nyingine kabisa!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…