Kutoka moyoni bila unafiki, Magufuli bado yupo vichwani mwa Watanzania

Wale waliokuwa wakifurahia dhuluma inayofanywa kwa wengine ndio wanaomkumbuka.
Dhuruma ipi? Na mbona waliodhurumiwa hawatoki hadharani kusema ina sisi ndo tunawasemea?

Amini Matajiri wengi walifanya biashara kijanja na baadhi wamepata walichostahili kupata ndomana hutawasikia wakitoka hadharani kusema wameonewa.

Imagine mtu anadaiwa kodi 5B hajalipa ndani ya miaka mitano, hataki kulipa kwa hiari alafu account zake zinasoma pesa ndefu tu, huyu mtu unataka abembelezwe alipe?

Tuache kiherehere hao waliodhurumiwa wajitokeze waseme walivyodhurumiwa tuache kuwasemea
 
Heri niiishi maisha maguma hata kama watu wa afganustan kuliko yule bwana awe hai!?? Labda yupo kichwani mwa familia yako aisee
 

Ben Sanane, Azory, Mawazo na wale wa kwenye viroba wanatokea vipi hadharani kuelezea dhuluma walizofanyiwa?

Alizofanyiwa Lissu hukupata kuzisikia?
 
Ben Sanane, Azory, Mawazo na wale wa kwenye viroba wanatokea vipi hadharani kuelezea dhuluma walizofanyiwa?

Alizofanyiwa Lissu hukupata kuzisikia?
Huyo Lissu kama anafahamu waliofanya dhuruma kwa hao watu kwanini hakuzisaidia familia husika kufungua kesi ili waliohusika wawajibishwe,
 
Jitu linaongea mpaka linalia na kwikwi lakini likifika kwenye Sanduku la kura linaweka tick kwenye (Chagueni Chizi Mfe)
 
Wakati wa mSiba aa shujaa watu wengi walifariki pale uwamja wa Taifa.
 
Yuko kichwani kwako peke yako
 
Reactions: BAK
Mkuu kitu au mtuu akiwa hai unamwona huwez ona umuhimu wake unless awe hayupo au hicho kitu hakipo ndo utaona umuhimu wake huyo magu watu walimsema Sana alivokuwa hai lakin Leo wanamkumbuka
 
Huyo Lissu kama anafahamu waliofanya dhuruma kwa hao watu kwanini hakuzisaidia familia husika kufungua kesi ili waliohusika wawajibishwe,

Kwa hiyo dhuluma hizo mlizificha mno kiasi kwamba mnaamini hajui mtu?

Kama vipi mkaachia na mlango wakitaka wapeleke kesi kwa nyani, ngedere kala mahindi?

Mkijiaminisha nyie ni ule mhimili uliojichimbia zaidi? Wenye huwezi wa kuuwa, kupoteza, na hata kubambikizia watu kesi?

Hivi mnatuona je lakini?
 
Mimi na Homegirls wangu tunapeperusha bendera nusu mlingoti tangu March 17 ... kwakweli ni huzuni kubwa sana kwa yanayoendelea..
 
Kama umechoka kuishi nafikiri ungefuata kwa kitu kizuri alichokifanya mpk ukasema vichwa vya watu vinamkumbuka labda vichwa maji kama chako pengine ulikuwa maslahi yako yake kwako ndio .Kutesa kwa zamu kama wewew kipindi cha magu ulikuwa safi wapishe wenzako sasa.
 
Ile hoja ni wewe umeiandika kwa mtizamo wako hasi.

Ile hoja nimeandika mimi kwa mtizamo ulio chanya na bila maendeleo:

1. Huyu anayefukuza Corona hivi hawezi kuepuka kuitwa mjinga na brain washed:



2. Anayepambana na Corona kama huyu aliyemkimbia na kujificha ili chui mwenye njaa asimwone:



naye pia hawezi kukwepa kuitwa mjinga na brainwashed.

3. Mkakati huu wa kupambana na Corona unaweza kuthaminiwa na wajinga na brainwashed peke yao:



4. Wajinga na brainwashed ambao sayansi na teknolojia hazina maana kwao wanaweza kuwa na imani kwenye upuuzi huu:



Watu wangapi wamepoteza maisha na wanaendelea kupoteza maisha kutokana na potoshaji za makusudi za huyu bwana?



Yeye mwenyewe yuko wapi leo?
 
Kama walikuwa wanadaiwa mbona kila mwaka TRA walikuwa wakiwapa certificate ya tax clearance? Acha kutetea dhuluma wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…