Wasanii wanaogopa kupanda kwenye jukwaa la upinzani.Nafikiri wamejengewa hofu na CCM. Ata Wale wasanii wa kike wanapita mitaani wanasema wanamsapoti mama makamu wa rais sababu ni Mwanamke lakini wanaogopa kupanda jukwa la Mdee.Kuna swali huwa najiuliza hivi vyama pinzani hawarusiwi kwenda na wasanii??
Lakini inaongeza watu katika kampeni hawaoni kwamba ni Jambo zuri na la kuigaNyama pinzani wanataka watu waende kusikiliza hoja na siyo tamasha la mziki,
Lissu aliwahi kukusaliti nini mana kila siku unaimba huo mwimboKwani hujui Rais Magufuli bado ni Rais wa JMT pamoja na kugombea tena? Huoni ulinzi wake ulivyo ukilinganisha na Msaliti Lissu au Membe na wengineo?
"Siasa ni nguvu yako ya kuwadanganya wananchi" patheticNadhani kuna jambo hujalielewa hapa.
Mazingira ya siasa za kuanza na Mungu kumaliza na Mungu haishabihiani kabisa na hiki kinachoendelea hapa musoma.
Nadhani ungekuwepo mwanzo kabusa wa "sherehe hizi" ungenielewa, siasa siyo vitisho kwa wananchi ni nguvu yako ya kuwadanganya wananchi, so na hili la hapa musoma [emoji24]!.
2015 kulikuwa na sera ya kwamba ''Tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu''. Kila mkutano ilikuwa inaanza sara kisha viongozi kumwaga sera na ukosoaji wa serikali Hii unaisemeaje mkuu!! Au ndiyo ile nyani haoni kundule?
Thubutuu... muulize Wema kilichomkuta na usisahau ya Idi wa Sulu!!Kuna swali huwa najiuliza hivi vyama pinzani hawarusiwi kwenda na wasanii??
Kitu nachoamini mafuriko ya watu huwa yashabihiana Sana na matokeoVyama pinzani wanataka watu waende kusikiliza hoja na siyo tamasha la mziki,
mama samia Hapo kasema ukweli mtupu Maana yeye ndo miongoni mwa maboss wa Askari wao wa CCM hivyo anawajua vizuri weredi wao. Kwahiyo Mimi naamini alichokisema na ndo uhalisia.Damu ya Ben Saanane
Azory Gwanda
Tundu Lissu na wengine tusiowafahamu zimesha walani CCM na serikali yake.
Sasa tunafanyaje maana kwa mtindo huo watadrop kura nyingi sasaThubutuu... muulize Wema kilichomkuta na usisahau ya Idi wa Sulu!!
wale viongozi wa dini waliongoza ufunguzi wa kampeni za Lissu pale Kawe hukuwaona?? Gebwe kweli wewe.Moja ya njia zinazotumiwa na serikali ya ccm kuwatumia wachungaji, masheikh nk kufanya kampeni kwenye vizimba vya siasa kwa kigezo cha kufanya sara na dua hakikubariki kwenye medani ya siasa.
Hizi ni njia za kulasimisha na kulainisha wapiga kura kuwaaminisha kuwa huyo ni rais na si mgombea wa nafasi ya urais.
Viongozi wenyewe wa dini wanaendesha dua kwa hofu kabisa na wwnaonekana kabisa wanakosa ule ujasiri tunaoufaham na wanaoutumia jwa waumini wao wanapokosa.
Hali hii inayotumiwa na ccm sidhani kqma inaweza kutumika upande wa pili wa vyama mbadala na ikitumiwa basi viongozi hao wataishi kwa wasiwasi sana, kwenye eneo lao la kazi.
Msema chochote wa ccm polepole anaongea kwa nguvu kutangazia umma kuwa hii ni sherehe ya kuazimisha miaka mitano ya magufuri ah [emoji2955]!!.
Shindwa pepoCcm ikiendelea kubaki madarakani ughaidi uko karibu
Hii post iweke kwa matumizi ya baadaemama samia Hapo kasema ukweli mtupu Maana yeye ndo miongoni mwa maboss wa Askari wao wa CCM hivyo anawajua vizuri weredi wao. Kwahiyo Mimi naamini alichokisema na ndo uhalisia.
Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.
Ben sanane aliutaka uenyekit wa Chama akapotea mpaka leo.
Tundu lissu aliutaka uenyekiti wa Chama akapigwa na vitu vinavyosadikika ni risasi.
F. SUMAYE aliutaka uenyekiti wa Chama akaambiwa kuwa Sumu haionjwi kwa usalama wa maisha yake akaamua kujiweka pembeni na kuchomoka kwenye himaya za mtia Sumu.
Swali; kwanini Kila anaeutaka uenyekiti wa Chama CDM anapatwa na matatizo Ni ipi Siri iliyopo Hapo nyuma?
Je nikweli Mbowe Ni kibaraka wa serikali kwamba hawezi kutoka kwenye kile kiti kwa masilahi ya Taifa?
NAFIKIRI UTAKUWA UMEELEWA LAKINIHii post iweke kwa matumizi ya baadae