Kutoka Sokoine: Tanzania Prisons yairarua kirahisi Simba SC kwa Mabao 2 kwa 1

Prison 1 Simba 1 (Hagaya,Mnyate)
 
halafu nilijua utani kumbe kweli wamechomoa. tunawaongeza tu hawa hamna sale leo
Heheeeeee naona mikia wenzio wamekimbia kabisa leo.
Mmeshaanza kupoteana baada ya kufungwa mechi moja!
 
Heheeeeee naona mikia wenzio wamekimbia kabisa leo.
Mmeshaanza kupoteana baada ya kufungwa mechi moja!
naamini tunawaongeza. tukitoka sale tutakua sehem mbaya sana.
 
Kumekucha Sokoine Stadium
Prison 2 Simba 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…