Meh, saa hizo kuomba Mungu[emoji3] [emoji3]Bwihi[emoji3][emoji3] Nakuweka kiporo ntakujibu mida yetu ile
Tuta au Matuta hoyeeeeee[emoji3] [emoji3] [emoji3]44' Goooooooal .. Gooooal....Haruna Niyonzima anaisawazishia Simba bao kwa mkwaju wa painati
Majimaji 1-1 Simba SC
Hahaaa. Nimefanyaje tena?Halafu wewe
Hahaaaa. Si nasikia wachezaji zaidi ya saba mmewapimzisha.Ahsante sana Pacha
Hawa wachezaj wetu sijui wamekuwaje
Ama Sabab ndo game ya mwisho
Unajua jirani umefanya nnHahaaa. Nimefanyaje tena?
Ooooh. Pole.Unajua jirani umefanya nn
Hahaaaa. Nawaona aiseee.Bado tumepigwa?? Ama. Mtani hatupoi mpaka mwisho
Hahahaaa. Usijali Mtani anzisha tu uzi mie utaniona.Nakusubiri saa mbili Azam vs Yanga