Kutoka Songea: Vodacom Premier League VPL, Majimaji Vs Simba SC

Goooooooal...goooooooal Azam FC wanaandika bao la tatu kupitia kwa Sure Boy

Yanga 1-3 Azam FC
 
Yani tangu wameanza kujaza vifusi kwenye bwana, wamebaki wanafukiwa tu wao
 
Saiv mashabiki wa yanga mnajifanya mko busy na kuumia kwa mo salah πŸ™‚ πŸ™‚ πŸ™‚ πŸ™‚ πŸ™‚ πŸ™‚ πŸ™‚
 
79' Yanga SC 1-3 Azam FC uwanja wa Taifa
 
Habri nzr kwa Wana msimbazi baada ya kaheza kuthibitisha kua tayari amesaini simba hatimaye Salamba nae kasaini simba
 
Hatimaye Simba imemalizana na mshambuliaji kinda wa Lipuli FC, Salamba.


Salamba amesaini kuitumikia Simba kwa mkataba wa miaka mitatu.


Kazi ya kusaini mtaba hup imefanyika mbele ya Kaimu Rais wa Simba, Salim Abdallah β€˜Try Again’.


Baada Salamba alipata nafasi ya kuona ana Mohamed Dewji, Bilionea anayetarajia kuwekeza ndani ya Simba kitita cha Sh bilioni 20.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…