Kutoka ujinini hodi wanajukwaa

Jini mahaba

Senior Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
151
Reaction score
39
Toka ujinini jini nimeingia mjini katika pita pita zangu nimeibukia humu naomba mnikaribishe mimi ndio yule jini Mzizimkavu ananiongelea na tayari nishamgeuzi sara umbwa asanteni saana kwa sasa mimi mjamzito nina mimba MIMBA YA JINI

Home ni salenda bridge
 

toka kwa jina la yesu,toooka pepo mchafu kutoka kuzimu,nakuapisha kwa jina la Yesu wa nazareth aliye hai,tooooka.
Usirudie kumtesa binadamu tooka,ushindwe kabisa,naharibu kila ulichopanga kufanya ndani humu nawamwagia damu ya Yesu wote wenye mapenzi mema,umeshindwa na hila zako...toooka.
 
Picha tafadhali, ili tukuone kama ni mlimbwende.
 

Nipo hapa kiboko yako,baba paroko!
 
makubwa haya disco limeingia mmasai

Watu mnadhana potofu hivi mmasai huwa anamipaka ya kufanya baadhi ya vitu?
Hamjui dunia imeshakuwa kijiji hata mmasai nae sasa hivi ni dj.

Hapa hakuna cha ngosha wala namara kila mtu baby ndo mpango..
 
Watu mnadhana potofu hivi mmasai huwa anamipaka ya kufanya baadhi ya vitu?
Hamjui dunia imeshakuwa kijiji hata mmasai nae sasa hivi ni dj.

Hapa hakuna cha ngosha wala namara kila mtu baby ndo mpango..

Eiyer banaaaaaaaaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…