Jini mahaba
Senior Member
- Feb 24, 2014
- 151
- 39
toka ujinini jini nimeingia mjini katika pita pita zangu nimeibukia humu naomba mnikaribishe mimi ndio yule jini mzizimkavu ananiongelea na tayari nishamgeuzi sara umbwa asanteni saana kwa sasa mimi mjamzito nina mimba mimba ya jini
home ni salenda bridge
Toka ujinini jini nimeingia mjini katika pita pita zangu nimeibukia humu naomba mnikaribishe mimi ndio yule jini Mzizimkavu ananiongelea na tayari nishamgeuzi sara umbwa asanteni saana kwa sasa mimi mjamzito nina mimba MIMBA YA JINI
Home ni salenda bridge
Una utani na Phlagiey ?
ha ha ha unantaftia timbwili mchana wa jua kali aseeee
makubwa haya disco limeingia mmasai
Watu mnadhana potofu hivi mmasai huwa anamipaka ya kufanya baadhi ya vitu?
Hamjui dunia imeshakuwa kijiji hata mmasai nae sasa hivi ni dj.
Hapa hakuna cha ngosha wala namara kila mtu baby ndo mpango..
Nini we manzi?