Hivi hayo mabasi mwisho wa siku watayafanyia nini?
Comrade, watu hawamtaki Muhongo lakini wanaimba kumtaka kiongozi makini.Hakuna kiongozi makini zaidi ya Muhongo.Na kwa hilo nashawishika kuamini kuwa tatizo letu si Marais wala vyama vyao, bali sisi wenyewe tumekosa akili za utambuzi.
Huyu Jamaa ni Pure mnafiki na Muongo huwezi ukasema utafanya mambo yote kwa nchi hii.Nimemsikiliza Januari Makamba wakati akitangaza nia, amezungumza mambo mengi lakini ameharibu utamu wa hotuba hiyo kwa kusema uongo.
Makamba katika hotuba yake amesema itachukua miaka mingi hata kumi kwa Tanzania kuanza kuvuna gesi na rais ajaye anaweza akaondoka madarakani bado gesi haijaanza kutumika.
Huu ni uongo wa wazi ana pengine inaweza kuwa ni kutojua kwamba tayari gesi imeanza kutumika kwenye maeneo mengi ikiwemo kweye viwanda mbalimbali hususani kwenye jiji la Dar es Salaam na kuna maeneo mengine kwenye majumba inatumika.
Namshangaa Januari anaposema gesi haitotumika kwa miaka ya karibu, anataka kutuambia hata mioundo mbinu ya gesi iliyojengwa itaanza kufanya kazi baada ya miaka kumi?
Namshauri aache kuzungumzia mambo ambayo hayajui na kama anatamani kuyazungumzia basi angeuliza kwa wataalamu wa masuala ya gesi kabla ya kufungua mdomo kuongea asiyoyajua.
Kwa mujibu wa wizara ya nishati na madini gesi itaanza kutumika miezi michache ijayo na tayari mabomba ya gesi yamekamilika kwa asilimia 90 na hata kiwanda cha DANGOTE kinachojengwa kitatumia gesi hiyo ambapo kiwanda hicho kitaanza uzalishaji mwezi wa nane kwa maana hiyo gesi itaanza kutumika kabla ya kiwanda hicho kuanza uzalishaji,
Wakati mwingine watu wakubali tu January leo kaja kivingine kabisa ukilinganisha na porojo za wengi wa awali this is what politics is all about maelezo na mbinu zake kinaga ubaga.
Issue labda je mbinu zenyewe ni sahihi au zinatekelezeka given the resources: lakini overall ameweka new bars in terms of the politics of policies. Aina maana mbinu zake zote are convincing to every one; over all big up January.
Naona wameanza na clips za kumpamba hapa.
Naomba kuuliza, baada ya kukosa kuiwakilisha CCM hayo magari yanaenda kupakwa rangi upya au ni sticker ni za kubandua tu? Mmmmh!
Naomba kuuliza, baada ya kukosa kuiwakilisha CCM hayo magari yanaenda kupakwa rangi upya au ni sticker ni za kubandua tu? Mmmmh!
Naona wameanza na clips za kumpamba hapa.
Ewe mleta mada hii gas unayoiona inaletwa siyo ilyovumbulia leo na haina uwingi wa kuweza kusafirishwa nje na kuiletea nchi fedha za kigeni.
Kuvuna Gas kiutajiri ni kweli kabisa si chini ya miaka 10 kuanzia sasa.
huyu jamaa ni pure mnafiki na muongo huwezi ukasema utafanya mambo yote kwa nchi hii.
Ana historia ya kufanya cheating kwenye mtihani ilyopelekewa kufutiwa matokeo