Kutoka ute mwekundu ukeni

mkazjr

Member
Joined
Jan 27, 2017
Posts
9
Reaction score
4
Habari za kutwa wapendwa
Naomba msaada mkewangu anatoka ute ulochanganyikana na damu hali hii utokea pindi yuko kwenye siku za hatari na uambatana na maumivu ya tumbo naomba kujua kama hari hii ni ya kawaida au ni ugonjwa?
 
Ni vema ukamuwahisha hospitali mkuu kuliko kujifanyia self diagnosis wahi mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…