Kutoka Uwanja wa Sokoine, Mbeya: Mbeya City vs Yanga SC

Yanga wanabahatisha Sana yaani wakienda kimataifa kwa timu hi hate round ya Kwanza hawavuki

Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana umeshaamini kwamba Yanga wanaweza (kubahatisha) kuwa mabingwa? Kwamba inawezekana ule upepo usikate tena? Kwamba ile butuabutua inaweza kubahatisha ikaibuka kidedea mbele ya soka la burudani? Kwamba lile bakuli linalotembezwa na walalahoi viwanjani linaweza kubahatisha kupata ambacho mabilioni ya bilionea zitashindwa? Kwamba inawezekana basi timu ya bilionea isipande ndege mwakani labda kama ‘itabahatisha’ kutwaa ubingwa wa Afrika lakini ikapanda ya mzee ambaye rssilmali yake ni kofia aliyorejeshewa baada ya kuibiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…