figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Kaseja kama kawaida yake amedaka penalti ya Okwi katika dakika za nyongeza.
Simba SC 0 - 1 Kagera Sugar
1. Said Mohamed
2. Nicholas Gyan
3. Mohamed Hussein
4. James Kotei
5. Paul Bukaba
6. Erasto Nyoni
7. Shomary Kapombe
8. Jonas Mkude
9. John Bocco
10. Emmanuel Okwi
11. Shiza Kichuya
Kikosi cha akiba
12. Ally Salim
13. Salim Mbonde
14. Kelvin Faru
15. Mzamiru Yassin
16. Said Ndemla
17. Rashid Juma
18. Moses Kitandu
Rais Magufuli aliyehudhuria Uwanjani hii leo ametoa neno.
Rais Magufuli amesema Tanzania imechezewa siku nyingi tangu uhuru mwaka 1961 lakini timu zote za michezo hazijafika mahali ambapo ni patamu
- Amesema yeye haendi viwanjani kwa sababu ya 'frastruation' ya timu za Tanzania kushindwa hivi viongozi wa vyama vya michezo waweke mikakati kuondoa aibu
Rais Magufuli ameiomba Simba wakalete kombe la klabu bingwa barani Afrika kwani amewaheshimu kufika uwanjani .
-Amesema mpira walioonyesha leo mbele ya Kagera hawataweza kushinda kombe hilo