Sijaoa na last time 2 have sex ilikua ferbuary this year, ilishawahi kunitokea mara moja kikakaa wiki moja na nusu hadi ikakauka but it was 3 years ago
woow.....jaribu kwenda kufaya vipimo hospitali.......magonjwa ya zinaa sio lazima uambukizwe kwa kufaya ngono.....
woow.....jaribu kwenda kufaya vipimo hospitali.......magonjwa ya zinaa sio lazima uambukizwe kwa kufaya ngono.....
inaweza ikawa Neoplasia.
Nimekupa like but, sasa zinaa si ndio ngono au?
Ilianza na kasehemu kadogo kuwasha then kuanza vipele vidogo, now vimekua kama kidonda ingawa ni kasehem kadogo ka uume, haviumi sana. Kuna dokta jiran nilimuonyesha nikamwambia last j'mosi nilikunywa mitakelfin n 4rm j3 ndo vipele vikaanza. Akaniambia nitakua nina alegy na dawa zenye sulphur akanipa vidonge vimeandkwa cosmos. Bt bado hali iko vile vile. Naomba Ushauri jf doctor
vinawasha? au havina maumivu yeyote?, vinajitokeza katika uume tu au hata mdomoni juu na chini?. nitajie urefu wako katika sentimita na uzito wako ktk kg. www.maajabuyamaji2.artisteer.net