Kutokana na mwenendo mzima wa serikali inavyoendeshwa, miradi mingi itaisha kwa kusinyaa na mikataba mibovu itakuwa mingi zaidi

Kutokana na mwenendo mzima wa serikali inavyoendeshwa, miradi mingi itaisha kwa kusinyaa na mikataba mibovu itakuwa mingi zaidi

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Taarifa ya CAG ilionekana kukera viongozi wa juu wa serikali na nilijuwa kuwa hatua kali kwa wabadhilifu hadi sasa wangekuwa hawapo maofisini kumbe kilikuwa kiini macho cha kuonesha chukizo mbele ya umma huku vitendo hamna katika uwajibikaji.

Nachofikri ni kwamba kama mama ataongoza serikali hii hadi 2030 kwa mtindo huu watu wa chini watapata taabu sana maana huduma za kijamii nyingi zitazorota kwa kuwa kila mtu anakula kulingana na urefu wa kamba yake, Ni vigumu sana kuelewa nachosema hasa kwa watu ambao wanapata asali mojakwamoja ndani ya serikali hawa watu wamejaa matusi na kejeli hadi imefikia hatua wengine wanatembea na kusema " usipopiga hela ya serikali sahivi nakufanya maendeleo utakuwa mjinga " maneno hayo yanafikrisha sana .

Mimi nimalize kwa kusema mama awe makini anaweza kukamilisha baadhi ya miradi lakini ikawa haina ubora kutokana na usimamizi mbovu nyote mnajuwa ubovu wa baadhi ya vitu tumejionea kuletewa mabehewa ya mitumba huku uwezo wa kununua ulikuwepo ; mambo haya kwanini yafanyike waziwazi? wengine wanasema mama kwa baraza alilonalo hana mtu wa kumkoromea maana anawaona kama ndiyo injini zake katika uchaguzi ujao,

Pili kutokana na taarifa za siri zilizopo yule mzee wa msoga inasemekana ndiye anayempa ushauri wa kila kitu jambo ambalo mama hata vijana wa msoga wakiharibu anashindwa kuwaajibisha . ndugu zangu ma bibi na mabwana kwa sasa tufunge mikanda kama unajuwa haupo kwenye mfumo utapiga kelele kama hizi mwisho wa siku hata watu wasiojulikana ukizidi kelele watapita na wewe.

Nachojuwa mungu yupo dua zetu zinaonekana hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, tunashukru mungu kwa kila jambo!

jioni njema.
 
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority looters and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few looters whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except looters themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava boat by which they were sailing!
 
Naunga mkono hoja, Mimi pia Sina Imani na serikali hii kabisa.
 
hii nchi wenye akili ni watawala wananchi wamewafanya misukule wakati ndiyo walipaji wakuu wa kodi , kodi zao zinatumika hovyo nchi inatumika kivuli wanakopa pesa wanakula haiendi kwenye miradi kikamilifu
 
mambo kama haya[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Back
Top Bottom