Kutokana na video ya Vitamin U, BASATA yamfungia Rosa Ree kwa miezi sita

Mgg3,
Na kamwe haitaweza kujitambua maana ishapelekwa gamboshi
 
Kwenye hiyo video alituzalilisha wsana wanawake wa kitanzania, video haifai kuangalia na watoto na wazazi ingepaswa afungiwe miaka 2 apate kujifunza. Ni kati ya video chafu sana ambayo haipaswi kutazamwa na jamii
Bado tu professor kakuganda kama luba au kakuacha ili nije niwekeze kwenye miguu yako mizuri na kujibebea jumla jumla? [emoji848][emoji87]
 
Bado tu professor kakuganda kama luba au kakuacha ili nije niwekeze kwenye miguu yako mizuri na kujibebea jumla jumla? [emoji848][emoji87]
Nipo nae huyu, bado sijafikria kumuacha kwa kweli lol, vijana hamjui kupenda mkiombwa hela kidogo mnatusema hadi tunajisikia vibaya.
 
Daaah...! Umetumia rasilimali ubongo vibaya sana Mama.

Utafiti gani uliotumia kuwa Wanaume tukiombwa tu matumizi tunaanza kuwasema vibaya hadi kunijumuisha na mimi?
Nipo nae huyu, bado sijafikria kumuacha kwa kweli lol, vijana hamjui kupenda mkiombwa hela kidogo mnatusema hadi tunajisikia vibaya.
 
kauzidisha sna ujanja so acha aitwe mshamba tu..
 
Hivi hawa basata wanavofungia video ya mtu kagharamia ela ndefu kwa kile wanachoita maadili hivi tz tuna maadili gani???kama ni maadili wangenyima na media zisicheze nyimbo za mbele zisizo na maadili
 
Uyu msani toka kitambo sijawa kumuelewa mi namwona malaya tuuh na soon video zake za faraga zitakua on air ...hana kitu kichwani anajua kubegejua domo tuuh kwa kulipindisha juu Kama beberu lililolamba mkojo wa jike aliyoko heat period

She's good tatizo huwa anajiachia sana na nilikuwa sielewi kwanini hao BASATA wanamuachia sana

Ni jambo jema kama hatimae wamemuona
 
Uamuzi wa Basata umechelewa sana. Video ina zaidi ya wiki hewani. Rosa Ree nae! Wimbo wa kwanza namsikia ndo ule anaimba "one time for the motherf...". Ila "katamu" aisee! Nilitamani kama mi ndio niwe Timmy kwenye bathtub.
 
Napendekeza ili kuvunja mzizi wa fitina video kama hiki wawe wanatumiwa baba zao wazazi,mama zao na kaka zao,sidhani watapiga tena ujinga kama huo.
 
Hivi hawa basata wanavofungia video ya mtu kagharamia ela ndefu kwa kile wanachoita maadili hivi tz tuna maadili gani???kama ni maadili wangenyima na media zisicheze nyimbo za mbele zisizo na maadili
Mkuu hiyo video umeiona lakini? Ile ni softcore porn kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…