N Nyaflora Member Joined Feb 4, 2015 Posts 14 Reaction score 0 Feb 6, 2015 #1 Hali hii imenitokea miezi mitatu sasa,siifurahii na inaniondolea kujiamini.Situmii vidonge wala sindano vya majira.
Hali hii imenitokea miezi mitatu sasa,siifurahii na inaniondolea kujiamini.Situmii vidonge wala sindano vya majira.
Joasi JF-Expert Member Joined Apr 3, 2014 Posts 766 Reaction score 674 Feb 6, 2015 #2 Ni every month or day
BabaJunior Member Joined Nov 20, 2012 Posts 40 Reaction score 16 Aug 28, 2015 #3 Na mm naomba msaada wa kitaalam pia. Mke wangu amepatwa na hedhi kwa zaidi ya wiki sasa. Nini tatizo na tufanyeje? Natanguliza shukrani.
Na mm naomba msaada wa kitaalam pia. Mke wangu amepatwa na hedhi kwa zaidi ya wiki sasa. Nini tatizo na tufanyeje? Natanguliza shukrani.
Paul Ndatala Member Joined Jul 17, 2015 Posts 13 Reaction score 1 Aug 30, 2015 #4 Hii husababishwa na kutobansi kwa vichocheo katika mwilini. Kwa ushauri zaidi amwone daktari aliye karibu naye au 0758986658 kwa ushauri zaidi
Hii husababishwa na kutobansi kwa vichocheo katika mwilini. Kwa ushauri zaidi amwone daktari aliye karibu naye au 0758986658 kwa ushauri zaidi
Paul Ndatala Member Joined Jul 17, 2015 Posts 13 Reaction score 1 Aug 30, 2015 #5 Atumie tu suppliments, tatizo litaisha
finance2014 JF-Expert Member Joined Aug 8, 2014 Posts 314 Reaction score 79 Aug 30, 2015 #6 Kwani ulishawahi kutoa mimba kama hujawahi jaribu kuonana na madaktari upate tiba sahihi